Hahahaha, karibu sana DIT maneno haya yataisha tu yenyewe baada ya mudaBro mim siishii diploma nataka nisome mpaka niwe na masters
Hahaha akishaanza kula DH na musuri mirefu ya B12 au T au C 1&2 ataelewaHahahaha, karibu sana DIT maneno haya yataisha tu yenyewe baada ya muda
Mimi mwenyewe nilikua na mawazo hayo hayo. Hustle nilizopitia paka diploma ikaisha. Nikasema Si-So-Mi, hata mfanye nini,Hahaha akishaanza kula DH na musuri mirefu ya B12 au T au C 1&2 ataelewa