Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,334
- 3,004
Fanya Umafia huu:
Kodi dizaini ya majambazi/vibaka ila wawe masela wako waje wawavamie usiku. Wachukue kila kitu ndani (hapa utakuwa umekodi fuso tiyari) wambie wachukue simu zote!
Mdanganye, tusipige kelele. Tukipiga kelele wata tuuwa!
Jambaka mmoja akukabe na akuwekee kisu shingoni then toka nae nje kana kwamba kaenda kukumaliza (kukuuwa).
Then fungua mlango sepa kila mtu rwake! Night kali ngoma 8 usiku. Huyu jambaka ulietoka nae asirudi ndani!!
Then vyombo watakupelekea gheto jipya mtaa wa mbaliiiii na pale ulipokuwa unaishi awali.
Poteza mawasiliano nae mwaka mmoja. Mkionana baada ya mwaka, utamkuta kazeeka kinomaaa!!
Kodi dizaini ya majambazi/vibaka ila wawe masela wako waje wawavamie usiku. Wachukue kila kitu ndani (hapa utakuwa umekodi fuso tiyari) wambie wachukue simu zote!
Mdanganye, tusipige kelele. Tukipiga kelele wata tuuwa!
Jambaka mmoja akukabe na akuwekee kisu shingoni then toka nae nje kana kwamba kaenda kukumaliza (kukuuwa).
Then fungua mlango sepa kila mtu rwake! Night kali ngoma 8 usiku. Huyu jambaka ulietoka nae asirudi ndani!!
Then vyombo watakupelekea gheto jipya mtaa wa mbaliiiii na pale ulipokuwa unaishi awali.
Poteza mawasiliano nae mwaka mmoja. Mkionana baada ya mwaka, utamkuta kazeeka kinomaaa!!