Na whatsaap Gb.Hayo mambo tunayapata ukiwa na Yowhatsapp
Hapo kwenye Yanga kutisha ndo umeharibu1. Screenshot then zoom.
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will.make a.millions and millions.
# Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.
# Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudia hauja iview
# Yanga mwaka huu watatisha sana..Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
😂😂😂😂Hapo kwenye Yanga kutisha ndo umeharibu
Bila kumsahau senzo1. Screenshot then zoom.
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will.make a.millions and millions.
# Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.
# Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview
# Yanga mwaka huu watatisha sana..Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
Bange mbaya sana labda Kama mmemchukua Rashid idi chama1. Screenshot then zoom.
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will.make a.millions and millions.
# Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.
# Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview
# Yanga mwaka huu watatisha sana..Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe