LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 14,937
- 26,638
1. Screenshot then zoom.
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will make a millions and millions.
Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.
Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview
Yanga mwaka huu watatisha sana. Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will make a millions and millions.
Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.
Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu anakuwekea status halafu mpaka ina expire wewe mhusika ulie kusudiwa hauja iview
Yanga mwaka huu watatisha sana. Hapa Morrison kule Chama halafu pale kwenye benchi yupo Uchebe