chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Sasa pesa za kununuaa S6 mh beta niongezeee mtajiii dukani
Hata mimi sielewi elewi haya mambo Ya kununua simu za mamilioni.. Wakati kuna simu kama Moto g (2015) kwa bei ya under laki 4 inayopata update bila shida, pia kuna LG nexus 5 bei rahisi na hii inapata update moja kwa moja toka Google wenyewe.Daaaah ngojaa tuendeeleee kubaki na hizi simu zetu za laki 3 mpaka hapo S6 itakapopunguaaaaa bei tutanunuaaaaa
Online bei ni 450,000 sasa siunajua bongo wataongeza cha juu itafika hata 550,000Hiyo LG nexus 5 sh ngapi?
tatizo ana simu mia kidogoSamsung sana sana wanaupdate kwa sasa Galaxy s6, note 5 na 4 na S5 hata S4 yao washaisahau
Huyu mkorea akiamka asubuhi naona ana idea nyingi na zote anataka kuzitekeleza...tatizo ana simu mia kidogo
Yeah kama unayo Galaxy S5 G900 update kutoka Samsung ipo uwe unacheki System update kwenye simu menu yako mara kwa mara maana inawachukua muda mrefu kusambazia kila mtuMm nina samsung S5. Vipi inawezekana
Wapi naweza ku update Bila system kuniambia? Mwenye uwezo huo nitamlipaYeah kama unayo Galaxy S5 G900 update kutoka Samsung ipo uwe unacheki System update kwenye simu menu yako mara kwa mara maana inawachukua muda mrefu kusambazia kila mtu
Mkuu Android 6.0.1 Marshmallow OTA Update Available For Galaxy S5, Note 4, Note Edge, Note 5Wapi naweza ku update Bila system kuniambia? Mwenye uwezo huo nitamlipa
ase hiv hii Xiaomi naeza ipata wap hapa.Hata mimi sielewi elewi haya mambo Ya kununua simu za mamilioni.. Wakati kuna simu kama Moto g (2015) kwa bei ya under laki 4 inayopata update bila shida, pia kuna LG nexus 5 bei rahisi na hii inapata update moja kwa moja toka Google wenyewe.