Jinsi ya ku hard reset kishkwambi

Jinsi ya ku hard reset kishkwambi

Jamaldini pie

Senior Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
150
Reaction score
106
WANAJAMVI ASSALAMUALAIKUM

Kwa ufupi mimi ni raia mwema ambae napenda kujifunza kila kitu lakini pia ni mtu wa simu janja na huku bush wananiaminia kwamba siwezi shindwa.

Sasa leo nimeletewa kishkwambi mwalimu amebadilisha pattern na amesahau nimejaribu
1. Power up bottom 10 sec imegoma.

2. Volume up bottom and power up bottom imegoma saa sijui nifanye nini ndugu yangu.
 
Mpelekee IT wa halmashauri. Acha utukutuku na sifa za kijinga utafungwa.

kWachina ile string wameificha, inahitaji mwenye mamlaka ilibakikosea ni kiufundi.

Kaz hiyo ina involve kubonyeza power button kwannguvu simultaneously na volume up or down...kwa nguvu sana bila kuachia after few seconds unaachia switch huku ukiendelea na volume, sasa hiyo nguvu inayotumika ukivunja ni kesi na Mwl husika hatakuelewa
 
WANAJAMVI ASSALAMUALAIKUM

Kwa ufupi mimi ni raia mwema ambae napenda kujifunza kila kitu lakini pia ni mtu wa simu janja na huku bush wananiaminia kwamba siwezi shindwa.

Sasa leo nimeletewa kishkwambi mwalimu amebadilisha pattern na amesahau nimejaribu
1. Power up bottom 10 sec imegoma.

2. Volume up bottom and power up bottom imegoma saa sijui nifanye nini ndugu yangu.
Kuna aina nyingine inategemeana na cpu iliyotumika kupata recovery mode. Ila hizo simu za serikali ungeachana nazo tu.
 
Back
Top Bottom