Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,539
- 4,852
Katika pita pita ya kuchunguza mambo fulani nilibahatika kupita katika makanisa mawili ya maombezi ambapo niliweza sikia vilio vingi vinavyofanana.
vilio vya E E E MUNGU NIJALIE MUMEO,MUNGU NIONYESHE MWANAUME WA MAISHA YANGU na vilio vya maneno mengi yanayofanana.
nilipotazama kwa haraka niligundua kuwa wadada wengi walokuwa wakipiga kelele hizo ni wale ambao sasa miaka nayo inanza kuhama,simaanishi kuwa wanazeeka,laa.
ila wametoka ktk ule umri wa kulipa na sasa wanaelekea ule umri ambao ni ile miaka ya. . . . .
niligundua kwamba vilio vingi vya wadada wanalilia kupata waume au kuwa ndani ya ndoa.
nilipotazama jinsi wasichana wengi wa sasa walivyo nikagundua wadada wengi walishajiloga na wakasahau walipofukia uchawi wao.
kitendo cha msichana wa leo kutazama mwanamume ana nini,ana miliki nini,ana uwezo gani,kimepelekea wasichana wengi kujikuta bahati ikipita kushoto na hata reception kushuka quality na wanaume kutafuta jengo jipya ambalo halijachakaa.
jirekebesheni,haka katabia kenu katawajaza wengi maombi.
vilio vya E E E MUNGU NIJALIE MUMEO,MUNGU NIONYESHE MWANAUME WA MAISHA YANGU na vilio vya maneno mengi yanayofanana.
nilipotazama kwa haraka niligundua kuwa wadada wengi walokuwa wakipiga kelele hizo ni wale ambao sasa miaka nayo inanza kuhama,simaanishi kuwa wanazeeka,laa.
ila wametoka ktk ule umri wa kulipa na sasa wanaelekea ule umri ambao ni ile miaka ya. . . . .
niligundua kwamba vilio vingi vya wadada wanalilia kupata waume au kuwa ndani ya ndoa.
nilipotazama jinsi wasichana wengi wa sasa walivyo nikagundua wadada wengi walishajiloga na wakasahau walipofukia uchawi wao.
kitendo cha msichana wa leo kutazama mwanamume ana nini,ana miliki nini,ana uwezo gani,kimepelekea wasichana wengi kujikuta bahati ikipita kushoto na hata reception kushuka quality na wanaume kutafuta jengo jipya ambalo halijachakaa.
jirekebesheni,haka katabia kenu katawajaza wengi maombi.
