Jinsi virus wanavyoingia kiurahisi kwenye simu za android

Jinsi virus wanavyoingia kiurahisi kwenye simu za android

hazole1

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
4,319
Reaction score
3,919
Kuna app nyingi hazipo kwenye playstore kwa mfano videoder, mobogine, ambazo unazikuta kule playastore mara nyingi zinakuwa ni za uongo
Ukitaka kuzipata zile app kwa urahisi lazima uingie internet na udownkoad kwa mfumo wa apk. Au mtu kama hiyo app anayo lazima akutumia kwenye Bluetooth kwa mfumo wa app share na ukitaka kuistal hizi apk lazima uweke sehemu moja hivi wameandi unknown app na hii ni hatari sana na ukisha maliza kuistal ile setting bado inakuwa iko on na vailasi wanaanza kuingia muda wowote
Madhara yake unakuta sometime kunavitu vinajidownload vyenyewe mara unakuta simu imejiwasha data yenyewe au mara nyingine simu inaisha chaji haraka someti inakuwa ya moto sana hata kama hautumii nk.

Ukirestore zingine zinakubali na zingine huwa zinakataa hadi upeleke kwa fundi software afute file lote harafu aweke lingine

Solution kama utaweza tumia app zenyewe zinapatikana kwenye playstore tu na usikubali hata kulishiwa app kwenye Bluetooth ni hatari sana.

Kama kuna mtu nae anaweza akawa na solution nyimgine anaweza kutusaidi.
 
Android ni Free market tu uchafu mwingi upo huku ata playstore unaona app zilivo za ovyo then Virus cdhani kama wana zuru sana simu zetu kiukweli nina muda mrefu sijihusishi na playstore kabisa napakua blackmart na stores zingine ..Android bila kuroot na ku allow non playstore app duh sijui utaifaidi nini asee but kama unapenda kitu cha uhakika ww vuta Apple phones tu
 
mimi napakua kokote kule sijaona chochote. virus kwenye simu hakuna uwoga wenu tu
 
Na hili tatizo limekuwa chronic kwa kipindi hiki, nimeona watu wengi wakilia kuhusu simu zao kujidownload apps automatically, huu upuuzi huwezi kuuona iOS hata kidogo thus why I like Apple devices
 
Kuna app nyingi hazipo kwenye playstore kwa mfano videoder, mobogine, ambazo unazikuta kule playastore mara nyingi zinakuwa ni za uongo
Ukitaka kuzipata zile app kwa urahisi lazima uingie internet na udownkoad kwa mfumo wa apk. Au mtu kama hiyo app anayo lazima akutumia kwenye Bluetooth kwa mfumo wa app share na ukitaka kuistal hizi apk lazima uweke sehemu moja hivi wameandi unknown app na hii ni hatari sana na ukisha maliza kuistal ile setting bado inakuwa iko on na vailasi wanaanza kuingia muda wowote
Madhara yake unakuta sometime kunavitu vinajidownload vyenyewe mara unakuta simu imejiwasha data yenyewe au mara nyingine simu inaisha chaji haraka someti inakuwa ya moto sana hata kama hautumii nk.

Ukirestore zingine zinakubali na zingine huwa zinakataa hadi upeleke kwa fundi software afute file lote harafu aweke lingine

Solution kama utaweza tumia app zenyewe zinapatikana kwenye playstore tu na usikubali hata kulishiwa app kwenye Bluetooth ni hatari sana.

Kama kuna mtu nae anaweza akawa na solution nyimgine anaweza kutusaidi.

Hili tatizo lilinipata katk huawei 9200 nilipata tabu sana mpaka nikalitatua nilipata app inaitwa kingroot ndipo nilimaliza tatizo
 
Kuna app nyingi hazipo kwenye playstore kwa mfano videoder, mobogine, ambazo unazikuta kule playastore mara nyingi zinakuwa ni za uongo
Ukitaka kuzipata zile app kwa urahisi lazima uingie internet na udownkoad kwa mfumo wa apk. Au mtu kama hiyo app anayo lazima akutumia kwenye Bluetooth kwa mfumo wa app share na ukitaka kuistal hizi apk lazima uweke sehemu moja hivi wameandi unknown app na hii ni hatari sana na ukisha maliza kuistal ile setting bado inakuwa iko on na vailasi wanaanza kuingia muda wowote
Madhara yake unakuta sometime kunavitu vinajidownload vyenyewe mara unakuta simu imejiwasha data yenyewe au mara nyingine simu inaisha chaji haraka someti inakuwa ya moto sana hata kama hautumii nk.

Ukirestore zingine zinakubali na zingine huwa zinakataa hadi upeleke kwa fundi software afute file lote harafu aweke lingine

Solution kama utaweza tumia app zenyewe zinapatikana kwenye playstore tu na usikubali hata kulishiwa app kwenye Bluetooth ni hatari sana.

Kama kuna mtu nae anaweza akawa na solution nyimgine anaweza kutusaidi.

android ukiijua vizur haikupi shida yoyote..
ukiwa super user basi mambo yote matamu..pia apps watu wangejaribu kucheza na pro version ziko blackmart huko .
 
Open sources nyingi ni malware free
 
Asilimia kubwa ya app ambazo hazipo play store basi ujue zina website zake official. App kama videorder na tubemate zina website zake official hivyo huna haha ya kujidownloadia site yoyote zifuate zilipotengenezwa.

Virusi/malware wengi wanaekwa na watengeneza simu wenyewe hasa WA kichina. Siku hizi kama wewe sio apple au Samsung ujue unapata hasara kwenye simu so wametafuta alternative za kuwaingizia faida ambazo Ni kuiba data zako na kuziuza kwa advetiser, simu kuja na app usizohitaji pamoja na simu kujiinstall apps.

Cha muhimu nunua simu yenye stock android kama nexus au yenye rom ambayo haijakuwa modified sana kama Motorola na Sony mambo mengi yatakuepuka.
 
Android ni Free market tu uchafu mwingi upo huku ata playstore unaona app zilivo za ovyo then Virus cdhani kama wana zuru sana simu zetu kiukweli nina muda mrefu sijihusishi na playstore kabisa napakua blackmart na stores zingine ..Android bila kuroot na ku allow non playstore app duh sijui utaifaidi nini asee but kama unapenda kitu cha uhakika ww vuta Apple phones tu

Watu mnapenda sana kua super users kuonekana geeks tu ila in reality u do nothing once you are a super user zaidi ya kutumia whatsapp na facebook. Give me two things ambavyo wewe personally unaenjoy kama superuser. Alafu honestly utaacha kudownload apps playstore unaenda sources nyingine, huo ni ushauri mbaya sana kumpa mtu, unajua fika sources nyingine ni dangerous kuliko playstore, playstore wakigundua app ina any security risks hua wanaifuta fasta, in most cases hua haifikii watu hata 500.
 
Watu mnapenda sana kua super users kuonekana geeks tu ila in reality u do nothing once you are a super user zaidi ya kutumia whatsapp na facebook. Give me two things ambavyo wewe personally unaenjoy kama superuser. Alafu honestly utaacha kudownload apps playstore unaenda sources nyingine, huo ni ushauri mbaya sana kumpa mtu, unajua fika sources nyingine ni dangerous kuliko playstore, playstore wakigundua app ina any security risks hua wanaifuta fasta, in most cases hua haifikii watu hata 500.
Kwanza nimeweza ku uninstall pre installed apps, nimezuia ads za ovyo ila pia kuna app nyingi zinataka root access nadhani ni simply napakua nipo mbioni kucheza na customs rom japo sijui sana but kuli risk device ndo kujifunza mengi zaidi ukiwa na uoga ni ngumu kuyajua
 
Kwanza nimeweza ku uninstall pre installed apps, nimezuia ads za ovyo ila pia kuna app nyingi zinataka root access nadhani ni simply napakua nipo mbioni kucheza na customs rom japo sijui sana but kuli risk device ndo kujifunza mengi zaidi ukiwa na uoga ni ngumu kuyajua

finally unaenjoy custom roms.
 
Niko zangu na BlackBerry z30.kiroho safi sina mawazo yenu ya android update sijui virus.
 
kuna " monkey test " nashindwa kuielewa kabisaa antivirus ninayotumia inaniambia ni " trojan " nikijaribu kupambana nayo inaniambia ni force to stop app then ina repair badala ya ku uninstall! hii ipo vp wakuu
 
kuna " monkey test " nashindwa kuielewa kabisaa antivirus ninayotumia inaniambia ni " trojan " nikijaribu kupambana nayo inaniambia ni force to stop app then ina repair badala ya ku uninstall! hii ipo vp wakuu

simu gani unatumia?
 
Back
Top Bottom