Jinsi uungwana wa Mbowe unavyompa kichwa Kailima

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,236
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi aitwaye Kailima amekuwa mtu wa porojo zisizo na mashiko yoyote lakini hana lolote linapofikia suala la kutenda , hajafika hata robo ya ubora wa Rajab Kiravu , sijui aliokotwa wapi ?

Kama Sanduku la kura linaibwa na raia mbele ya polisi , lakini baadaye kidogo linarejeshwa kituoni na polisi haohao walioshuhudia mwizi akiondoka nalo tena bila huyo mwizi kukamatwa , unawezaje kusema uchaguzi huu ulizingatia sheria ? Je ni masanduku mangapi yalichakachuliwa bila kuonekana ? Ni nani ataamini tena tume hii ?

Hivi Kailima anawezaje kuwaona watu wote wa upinzani ni mazezeta kiasi cha kuongea uozo kama huu ?

Mh Mbowe umekuwa muungwana wa kupitiliza , Hata Mitume wa Mungu kuna wakati walitenda ili kukomesha uharamia , ifike wakati watu wa aina ya Kailima waanze kuchagua maneno ya kuongea , inaumiza sana .
 
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi aitwaye Kailima amekuwa mtu wa porojo zisizo na mashiko yoyote lakini hana lolote linapofikia suala la kutenda , hajafika hata robo ya ubora wa Rajab Kiravu , sijui aliokotwa wapi ?

Kama Sanduku la kura linaibwa na raia mbele ya polisi , lakini baadaye kidogo linarejeshwa kituoni na polisi haohao walioshuhudia mwizi akiondoka nalo tena bila huyo mwizi kukamatwa , unawezaje kusema uchaguzi huu ulizingatia sheria ?

Hivi Kailima anawezaje kuwaona watu wote wa upinzani ni mazezeta kiasi cha kuongea uozo kama huu ?

Mh Mbowe umekuwa muungwana wa kupitiliza , Hata Mitume wa Mungu kuna wakati walitenda ili kukomesha uharamia , ifike wakati watu wa aina ya Kailima waanze kuchagua maneno ya kuongea , inaumiza sana .
siku inakuja watakula bullet
 
Wakati mwingine hata simlaumu Kailima.Maana kuna yule mtu wa I WISH I COULD BE!!!Huyo ndo muanzilishi wa uozo wote huo,wateule wake wanafanya mambo ya ovyo kumplease au kwa hofu ya kutumbuliwa.Ila tusiumie sana maana soon asubuh itafika,kitaeleweka tu mbururaz hawa.
 
Apana plan za mh mbowe za kiongozi kwa sasa zimepata pumzi tunahitaji kumbadilisha na vijana wetu wengine machachari katika chama maana mbowe anapambana na awamu mbili zilizopita so now Em awaachie vijana kama kina lema ili waendesha chama kwa siasa za Kiarakti maana siasa za kuomba kupewa demokrasia zimeonekana kutozaa matunda mbele ya huyu bwana malaika wetu
 
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi aitwaye Kailima amekuwa mtu wa porojo zisizo na mashiko yoyote lakini hana lolote linapofikia suala la kutenda , hajafika hata robo ya ubora wa Rajab Kiravu , sijui aliokotwa wapi ?

Kama Sanduku la kura linaibwa na raia mbele ya polisi , lakini baadaye kidogo linarejeshwa kituoni na polisi haohao walioshuhudia mwizi akiondoka nalo tena bila huyo mwizi kukamatwa , unawezaje kusema uchaguzi huu ulizingatia sheria ? Je ni masanduku mangapi yalichakachuliwa bila kuonekana ? Ni nani ataamini tena tume hii ?

Hivi Kailima anawezaje kuwaona watu wote wa upinzani ni mazezeta kiasi cha kuongea uozo kama huu ?

Mh Mbowe umekuwa muungwana wa kupitiliza , Hata Mitume wa Mungu kuna wakati walitenda ili kukomesha uharamia , ifike wakati watu wa aina ya Kailima waanze kuchagua maneno ya kuongea , inaumiza sana .
Kwahiyo uungwana wa Mbowe ni kwa huyo Kailima tu??
 
Apana plan za mh mbowe za kiongozi kwa sasa zimepata pumzi tunahitaji kumbadilisha na vijana wetu wengine machachari katika chama maana mbowe anapambana na awamu mbili zilizopita so now Em awaachie vijana kama kina lema ili waendesha chama kwa siasa za Kiarakti maana siasa za kuomba kupewa demokrasia zimeonekana kutozaa matunda mbele ya huyu bwana malaika wetu
Badilisha uandishi wako. Unaandika kama mtoto anaongea.
 
Mtazamo huu wa Mbowe vs kailima ndilo tatizo. Siku tutatambua kuwa ni kailima na wahuni wote wa aina yake vs wananchi tutakuwa tumepiga hatua kubwa na muhimu sana.
 
Mtazamo huu wa Mbowe vs kailima ndilo tatizo. Siku tutatambua kuwa ni kailima na wahuni wote wa aina yake vs wananchi tutakuwa tumepiga hatua kubwa na muhimu sana.
Na ijulikane kwamba Kailima hana kinga yoyote ile kisheria , aendelee tu na njama zake za kishamba
 
Apana plan za mh mbowe za kiongozi kwa sasa zimepata pumzi tunahitaji kumbadilisha na vijana wetu wengine machachari katika chama maana mbowe anapambana na awamu mbili zilizopita so now Em awaachie vijana kama kina lema ili waendesha chama kwa siasa za Kiarakti maana siasa za kuomba kupewa demokrasia zimeonekana kutozaa matunda mbele ya huyu bwana malaika wetu
Mkuu inaonekana ulikimbia shule mapema sana! anyway, rudi tena japo ujue tu kuandika vzr.
 
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi aitwaye Kailima amekuwa mtu wa porojo zisizo na mashiko yoyote lakini hana lolote linapofikia suala la kutenda , hajafika hata robo ya ubora wa Rajab Kiravu , sijui aliokotwa wapi ?

Kama Sanduku la kura linaibwa na raia mbele ya polisi , lakini baadaye kidogo linarejeshwa kituoni na polisi haohao walioshuhudia mwizi akiondoka nalo tena bila huyo mwizi kukamatwa , unawezaje kusema uchaguzi huu ulizingatia sheria ? Je ni masanduku mangapi yalichakachuliwa bila kuonekana ? Ni nani ataamini tena tume hii ?

Hivi Kailima anawezaje kuwaona watu wote wa upinzani ni mazezeta kiasi cha kuongea uozo kama huu ?

Mh Mbowe umekuwa muungwana wa kupitiliza , Hata Mitume wa Mungu kuna wakati walitenda ili kukomesha uharamia , ifike wakati watu wa aina ya Kailima waanze kuchagua maneno ya kuongea , inaumiza sana .
Mbowe alishapoteza ubavu (clout) wake siku nyingi.

Alianzisha Ukuta ikayeyukia kwenye mechi ya Yanga akiwa na Mwigulu...
Mbowe keshatangaza anafuata "maslahi" na watawala wanajua nini ya kumfanya mpenda maslahi alegee.

Mbowe ni mbadilisha gia angani...yani Chadema walimkubalia Mbowe amlete Lowassa afu wamnadi kama sura ya chama...kweli Mbowe aliwapa watu limbwata...

Mbowe kabadili gia angani kwenye uchaguzi mdogo wa Kindondoni na Siha baada ya kusususa..maslahi na upuuzi..

Mbowe huyu ni Mbowe "maslahi" na Mbowe kigeu geu a.k.a mbadilisha gia angani ..mkiendelea kuambatana naye anatawaumiza na kuwazamisha.
 
Ila hawa watu wajue utawala wa awamu hii hautadumu milele, utakuja mwingine na huenda ukawa na itikadi tofauti kabisa. watatamani ardhi ipasuke waingie ndani tena wajifukie wenyewe.
 
Ila hawa watu wajue utawala wa awamu hii hautadumu milele, utakuja mwingine na huenda ukawa na itikadi tofauti kabisa. watatamani ardhi ipasuke waingie ndani tena wajifukie wenyewe.
Wote walioshiriki uchafu wa Mugabe au Zuma hivi sasa wanahaha .
 
kwani nyie nyumbu hamjui sheria za uchaguzi? ndio shida ya chama kuongozwa na form four failure, anawafanya nyote muwe kama hamna akili, pitia hoja za Kailima utajifunza. uhaguzi haufutwi kwa mizuka, wakala wa pale alipaswa kujaza form namba 14 ili wapate base ya kisheria ya kupinga matokeo au kuharamisha mchakato baada ya, sio eti boxi limebebwa then uchaguzi kushiney, acheni porojo.
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi aitwaye Kailima amekuwa mtu wa porojo zisizo na mashiko yoyote lakini hana lolote linapofikia suala la kutenda , hajafika hata robo ya ubora wa Rajab Kiravu , sijui aliokotwa wapi ?

Kama Sanduku la kura linaibwa na raia mbele ya polisi , lakini baadaye kidogo linarejeshwa kituoni na polisi haohao walioshuhudia mwizi akiondoka nalo tena bila huyo mwizi kukamatwa , unawezaje kusema uchaguzi huu ulizingatia sheria ? Je ni masanduku mangapi yalichakachuliwa bila kuonekana ? Ni nani ataamini tena tume hii ?

Hivi Kailima anawezaje kuwaona watu wote wa upinzani ni mazezeta kiasi cha kuongea uozo kama huu ?

Mh Mbowe umekuwa muungwana wa kupitiliza , Hata Mitume wa Mungu kuna wakati walitenda ili kukomesha uharamia , ifike wakati watu wa aina ya Kailima waanze kuchagua maneno ya kuongea , inaumiza sana .
hamju
 
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi aitwaye Kailima amekuwa mtu wa porojo zisizo na mashiko yoyote lakini hana lolote linapofikia suala la kutenda , hajafika hata robo ya ubora wa Rajab Kiravu , sijui aliokotwa wapi ?

Kama Sanduku la kura linaibwa na raia mbele ya polisi , lakini baadaye kidogo linarejeshwa kituoni na polisi haohao walioshuhudia mwizi akiondoka nalo tena bila huyo mwizi kukamatwa , unawezaje kusema uchaguzi huu ulizingatia sheria ? Je ni masanduku mangapi yalichakachuliwa bila kuonekana ? Ni nani ataamini tena tume hii ?

Hivi Kailima anawezaje kuwaona watu wote wa upinzani ni mazezeta kiasi cha kuongea uozo kama huu ?

Mh Mbowe umekuwa muungwana wa kupitiliza , Hata Mitume wa Mungu kuna wakati walitenda ili kukomesha uharamia , ifike wakati watu wa aina ya Kailima waanze kuchagua maneno ya kuongea , inaumiza sana .
Tatizo ni kwamba Mwenyekiti wa Tume ambaye abatakiwa kuwa boss wake kwa sasa ni dhaifu kuliko. Kailima sasa ni Mkurugenzi na mwenyekiti...anaongea wakati mwingine unashangaa kama ana weledi. Au anafanya makusudi ili ionekane Tume haifai zaidi ya watu wanavyojua.
 
Back
Top Bottom