Jinsi "Spritual Bonds" zinavyotesa ndoa za sasa

Jinsi "Spritual Bonds" zinavyotesa ndoa za sasa

Umesahau pia kuwa Hilo agano usipolivunja linaweza haribu hata Maisha yako kiuchumi pia
Hatari sana.

Hii miunganiko ya kiroho tunayoitengeneza kupitia dhambi ya uzinzi inageuka "deni" ambalo wahusika watalipa tu .
 
Sio kuongezea hofu mkuu hii kitu niya kwel.
Unakuta mke wa mchungaji anayekesha maombini anamegwa na houseboy au bodaboda, mchungaji nae anapita na wanakwaya. Wanakwaya kwa wanakwaya wanaseviana. Ndoa za wachungaji na wanakwaya maarufu zinavunjika kama ungo.... INA MAANA HAWA HAWAJUI KUFUNGA NA KUOMBA? Kuoa bikra sio guarantee kwamba hatochepuka. HIZI mambo za sijui spiritual connections, sijui madhabahu za nini ni kuongezeana hofu tu.
Usichojua nikuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna kitu kinaitwa "Agano (covenant). Kuna baadhi ya watu wameisha ingia kwenye maagano ambayo wameshindwa kuyavunja pasipo kujua na ww unapo sex nae anakuingiza kwenye hilo agano pasipo ww kujua ili kazi ya shetan iendelee. Mfano jaribu kuangalia ata hapo ulipo utagundua Kuna mwanamke (binti) au mwanaume mtu yeyote atakae toka nae na wakasex lazma atakuwa kicheche tu, kwasababu yule mtu agano alilonalo nilakuwafanya watu kuwa malaya au wazinifu.
 
Sio kuongezea hofu mkuu hii kitu niya kwel.

Usichojua nikuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna kitu kinaitwa "Agano (covenant). Kuna baadhi ya watu wameisha ingia kwenye maagano ambayo wameshindwa kuyavunja pasipo kujua na ww unapo sex nae anakuingiza kwenye hilo agano pasipo ww kujua ili kazi ya shetan iendelee. Mfano jaribu kuangalia ata hapo ulipo utagundua Kuna mwanamke (binti) au mwanaume mtu yeyote atakae toka nae na wakasex lazma atakuwa kicheche tu, kwasababu yule mtu agano alilonalo nilakuwafanya watu kuwa malaya au wazinifu.
Umenena mkuuu
 
Hakuna hatua yenye changamoto kwenye maisha ya Binadamu kama NDOA , Kuanzia kwenye kutafutana , kuchumbiaba , kuoana , kujenga familia n.k

Kimsingi Binadamu awaye yeyote ana asili kuu mbili ambazo zinapingana mno ;
(1) Asili ya kwanza ni Mungu wa kweli
(2)Asili ya pili ni miungu - Ukoo kwa namna nyingine .

Hivyo kila asili imeshikilia mustakabali wa maisha ya Mtu . Kuna uwezekano ukazitumikia asili zote mbili kwa pamoja au ukaamua kuitumikia asili moja . Unapoamua kuwa sehemu ya asili moja ndiyo vita inaanzia hapo ( Spuritual Warfare ) .

Kumbuka Mababu wa mababu wa mababu wa mababu zako walifanya matambiko (maagano) na miungu yao ( Kila ukoo una muungu wake ) kuhusu mustakabali wa maisha ya watu wa ukoo husika vizazi na zizazi baadaye ( Spiritual covenant )

Ni somo refu ila niishie tu hapo , utakayenielewa hongera zako na usiyenielewa pole zako . Ila tambua ya kuwa asili uliyoamua kuitumikia ndiyo determinant ya hatma ya maisha yako including NDOA .
 
Kumbuka Mababu wa mababu wa mababu wa mababu zako walifanya matambiko (maagano) na miungu yao ( Kila ukoo una muungu wake ) kuhusu mustakabali wa maisha ya watu wa ukoo husika vizazi na zizazi baadaye ( Spiritual covenant )

Hizi agano walizoingia familia za mababu zetu huko zaman ndio zina tuhasiri sio kimahusiano tu bali hata kijamii pia, kwan kila Agano huwa na makubaliano na mashariti ambayo sisi wa kizazi hiki cha sasa ndio tunalipa garama zake pasipokujijua.
 
Back
Top Bottom