waneemayote
Member
- Oct 20, 2019
- 56
- 153
Nimekuwa nikifuatilia mafundisho ya dini na makala tofauti tofauti huku JamiiForums, leo ninanvyoandika Uzi huu nimeona makala inayosema kuchunguza ma-Ex za wake watu something like that nimeusoma ule Uzi nikaunganisha na yale masomo ya dini kuhusu ndo niliyoyasoma miunganiko ya kihoro. Uzi wa hapo juu mwandishi ameelza jinsi wake za watu wanavyoliwa karne hii na ma-Ex zao
Ukweli ni kwamba, unaposex na mtu unatengeneza Spiritual Bond naye, unasimamisha madhabahu pamoja na huyo mtu, sasa ikitokea umeolewa na mtu mwingine au umeoa na mtu mwingine bila kuvunja madhabahu ile kwa njia ya maombi na sadaka basi tambua ni rahisi kuja tena kushirki ngono na yule mtu tena endapo itatokea nafasi tena ya kufanya hivyo
Kwa mtazamo wangu ukitaka kuwa na ndoa yenye furaha na amani na mibaraka tele mbali na zile funguo tatu jitahidi sana katika ujana wako usijiingize katika ngono kwa namna yoyote ile na ikiwa umeshafanya hivyo omba toba kwa Mungu na vunja miunganiko ya kiroho na mtu au watu hao ulioshirikii nao ngono
Endapo utakuwa unataka kuoa omba sana kwa bidii Roho Mtakatifu akuongoze kuchagua mtu sahihi. Fuatilia historia ya mtu huyo na pia ombeni wote kwa pamoja kuvunja miunganiko yote ya kiroho na tabia za kurithi na madhabahu zozote za uk. Zaidi ya yote Ombeni Mungu awape hekima ya kuongoza Ndoa zenu vizuri
Karibuni kwa michango na nyongeza
Ukweli ni kwamba, unaposex na mtu unatengeneza Spiritual Bond naye, unasimamisha madhabahu pamoja na huyo mtu, sasa ikitokea umeolewa na mtu mwingine au umeoa na mtu mwingine bila kuvunja madhabahu ile kwa njia ya maombi na sadaka basi tambua ni rahisi kuja tena kushirki ngono na yule mtu tena endapo itatokea nafasi tena ya kufanya hivyo
Kwa mtazamo wangu ukitaka kuwa na ndoa yenye furaha na amani na mibaraka tele mbali na zile funguo tatu jitahidi sana katika ujana wako usijiingize katika ngono kwa namna yoyote ile na ikiwa umeshafanya hivyo omba toba kwa Mungu na vunja miunganiko ya kiroho na mtu au watu hao ulioshirikii nao ngono
Endapo utakuwa unataka kuoa omba sana kwa bidii Roho Mtakatifu akuongoze kuchagua mtu sahihi. Fuatilia historia ya mtu huyo na pia ombeni wote kwa pamoja kuvunja miunganiko yote ya kiroho na tabia za kurithi na madhabahu zozote za uk. Zaidi ya yote Ombeni Mungu awape hekima ya kuongoza Ndoa zenu vizuri
Karibuni kwa michango na nyongeza