Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,432
- 2,437
Uchezaji wa jana ulikuwa na lengo la kukeep nguvu maana kuna utetezi wa taifa weekend hii , ni heri hata wangefungwa mechi hii ila Shirikisho wafuzu (hicho ndicho kipaumbele ) na kwa sasa timu hii itawachanganya wengi sana maana biriani wanalijua ,counter wanajua yaani hujui leo wanakuja vipi .Jana kuna mabadiliko ya kiuchezaji yalifanyika tu ndiyo maana Geita walishine ,kwa bongo hii Simba ndiyo mababa wa mpira wa kupossess sana hivyo Geita alikuwa anaweza kufunikwa tu kama sio game plan ya mwalimu kuwa tofauti janaKwa uchezaji ule wa jana utelembwe hiyo dec 11 wakileta timu tunawapiga za kutosha