Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,191
Japo wengi hawatapenda!
Katika zoezi la uandikishaji NIDA ndio kipindi pekee serikali ingeweza kuwabaini na kuwakamata wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo ya chuo.
Serikali ingejipanga vizuri nusu ya wadaiwa wangebainika walipo. Kuna wadaiwa sugu hawajaajiliwa serikalini wala taasisi binafsi wanaendelea na Mishe zao na wengine wametusua wana uwezo wa kulipa Ila wanapiga chenga.
Huwa nashangaa kusikia bodi inatangaza majina ya wadaiwa sugu ilihali kuna njia nyingi sana za kuwakamata. Huenda serikali haina nia ya kuwakamata.
Vilevile huwa nashangaa watu waliokopa bumu kukwepa kurudisha, hivi serikali kwa nini isiunde mfumo wa kuwatosa bumu watoto wa wadaiwa sugu ili iwe fundisho, kuna kauli ibasema 'like father like son!'.
Katika zoezi la uandikishaji NIDA ndio kipindi pekee serikali ingeweza kuwabaini na kuwakamata wadaiwa sugu wa Bodi ya Mikopo ya chuo.
Serikali ingejipanga vizuri nusu ya wadaiwa wangebainika walipo. Kuna wadaiwa sugu hawajaajiliwa serikalini wala taasisi binafsi wanaendelea na Mishe zao na wengine wametusua wana uwezo wa kulipa Ila wanapiga chenga.
Huwa nashangaa kusikia bodi inatangaza majina ya wadaiwa sugu ilihali kuna njia nyingi sana za kuwakamata. Huenda serikali haina nia ya kuwakamata.
Vilevile huwa nashangaa watu waliokopa bumu kukwepa kurudisha, hivi serikali kwa nini isiunde mfumo wa kuwatosa bumu watoto wa wadaiwa sugu ili iwe fundisho, kuna kauli ibasema 'like father like son!'.