Watu kutokwenda Polisi kuripoti haina maana kwamba Sabaya hana kosa, hayo yote uliyoandika ni upuuzi tu, unatakiwa ujue watu walimuogopa kwasababu alikuwa analindwa na Magufuli, now Magufuli is gone, Sabaya is finished, kama unataka ushahidi usioacha shaka nenda Mahakamani kasikilize hiyo kesi kuanzia tarehe 18.06.