omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,686
Wakuu habari
Jana wakati nikiwa benki(jina kapuni) nilifanya taratibu zote, kuandikia form ya kuwekea pesa nikapanga mstari tayari kwa huduma... gafla akaja kaka mmoja hivi na kuniita falagha
" samahani naomba unisaidie kuandika hapa" yule kaka aliongea huku akiwa ameshika payinslip(fomu ya kuweka pesa) huku akitoa bahasha yenye USdollar alidai kuwa kapewa na wachina kwenye sheli flan( jina kapuni) thamani ya USD15000
Sijaanza kumwelekeza mara dada mmoja alikuwa karibu yetu akaingilia" hizo dollar hazi badilishwi hapa, labda benki ya postal"
Basi sababu mi niliitwa nitoe msaada niliamini kuwa jamaa kashapata msaada aende zake benki tajwa..
Ile nataka kuondoka nirudi kwenye line yule kaka mwenye dollars akasema " Naogopa kwenda peke yangu kama vip nisindikizen kisha pesa zitazotoka nitawapa milioni moja moja" mmh! Kusikia hivyo nikahairisha kwenda kwenye line.... nazidi kuingia kwenye mtego
"Nna haraka sana kama inawezekana iwe saivi" aliongea huku akitoka nje ya benki haraka haraka, tukabaki mi na yule dada " twende au tuache pesa ziende tu mm! Nikamwambia twende ila tuwahi maana nna pesa za watu hapa.....
NJIANI
...yule dada akawa anapiga simu " hallow eeeh hivi rate ya kubadili dollar ni shingapi?..... kama dollar 15000 hivi?...... duh haya haya tunakuja saivi(call ended)
Akanivuta pembeni kidogo na kwa sauti ya chini kusudi yule kaka asisikie ( dogo amesema rate siku ya leo ni kubwa hivyo ni milioni 32,000,000)
Kufika sehem jamaa akagoma kwenda eti anaogopa, twende sisi tukamchekie kwa yule mtu aliokuwa akiwasiliana na yule dada akatoa note moja ya dollar50, nakusema chukieni hii mkanichekie....
Tukakubaliana sawa tukaenda tukiwa mimi na yule dada ambaye hata simfaham wala sijawahi muona mayala!
Tulivyorudi
"Dollar iko sawa" yule dada aliongea, na sijui kwanini kila jambo yule dada alianza kuongea yeye( nahisi yule dada na yule kaka lao moja)
"Sasa mimi ngoja niwape mkanibadilishie mimi naogopa kutembea tembea" yule kaka aliongea na nilishindwa kuelewa anamaanisha nini
"Mimi siwaamini naombeni hela zenu mlizonazo na mimi niwape hizi dollar mkisha badili basi nitawapa hela zenu" yule kaka aliongeza .... hapo nilipata wasi wasi sana kwanini tumwachie pesa zetu.
Binasfi nilikuwa nna milion 1 ambayo ilitakiwa nii-deposit ambayo kwa mda huo niliiweka mfukoni, yule dada alikuwa amebeba begi na alisema ana milioni 5.
Kilicho nichanganya ni kumwachia pesa yule kaka kisha sisi twende kubadili pesa..
to be honest
Pesa sikutoa niligoma kata kata, yule dada alikuwa mstari wa mbele kunibembeleza nitoe pesa nilikataa na kuondoka kasiii....
PENDEKEZO
tufanye kazi, tuachee tamaa matapeli wangenizidi akili wangenitapeli...
Nawasilisha...
Jana wakati nikiwa benki(jina kapuni) nilifanya taratibu zote, kuandikia form ya kuwekea pesa nikapanga mstari tayari kwa huduma... gafla akaja kaka mmoja hivi na kuniita falagha
" samahani naomba unisaidie kuandika hapa" yule kaka aliongea huku akiwa ameshika payinslip(fomu ya kuweka pesa) huku akitoa bahasha yenye USdollar alidai kuwa kapewa na wachina kwenye sheli flan( jina kapuni) thamani ya USD15000
Sijaanza kumwelekeza mara dada mmoja alikuwa karibu yetu akaingilia" hizo dollar hazi badilishwi hapa, labda benki ya postal"
Basi sababu mi niliitwa nitoe msaada niliamini kuwa jamaa kashapata msaada aende zake benki tajwa..
Ile nataka kuondoka nirudi kwenye line yule kaka mwenye dollars akasema " Naogopa kwenda peke yangu kama vip nisindikizen kisha pesa zitazotoka nitawapa milioni moja moja" mmh! Kusikia hivyo nikahairisha kwenda kwenye line.... nazidi kuingia kwenye mtego
"Nna haraka sana kama inawezekana iwe saivi" aliongea huku akitoka nje ya benki haraka haraka, tukabaki mi na yule dada " twende au tuache pesa ziende tu mm! Nikamwambia twende ila tuwahi maana nna pesa za watu hapa.....
NJIANI
...yule dada akawa anapiga simu " hallow eeeh hivi rate ya kubadili dollar ni shingapi?..... kama dollar 15000 hivi?...... duh haya haya tunakuja saivi(call ended)
Akanivuta pembeni kidogo na kwa sauti ya chini kusudi yule kaka asisikie ( dogo amesema rate siku ya leo ni kubwa hivyo ni milioni 32,000,000)
Kufika sehem jamaa akagoma kwenda eti anaogopa, twende sisi tukamchekie kwa yule mtu aliokuwa akiwasiliana na yule dada akatoa note moja ya dollar50, nakusema chukieni hii mkanichekie....
Tukakubaliana sawa tukaenda tukiwa mimi na yule dada ambaye hata simfaham wala sijawahi muona mayala!
Tulivyorudi
"Dollar iko sawa" yule dada aliongea, na sijui kwanini kila jambo yule dada alianza kuongea yeye( nahisi yule dada na yule kaka lao moja)
"Sasa mimi ngoja niwape mkanibadilishie mimi naogopa kutembea tembea" yule kaka aliongea na nilishindwa kuelewa anamaanisha nini
"Mimi siwaamini naombeni hela zenu mlizonazo na mimi niwape hizi dollar mkisha badili basi nitawapa hela zenu" yule kaka aliongeza .... hapo nilipata wasi wasi sana kwanini tumwachie pesa zetu.
Binasfi nilikuwa nna milion 1 ambayo ilitakiwa nii-deposit ambayo kwa mda huo niliiweka mfukoni, yule dada alikuwa amebeba begi na alisema ana milioni 5.
Kilicho nichanganya ni kumwachia pesa yule kaka kisha sisi twende kubadili pesa..
to be honest
Pesa sikutoa niligoma kata kata, yule dada alikuwa mstari wa mbele kunibembeleza nitoe pesa nilikataa na kuondoka kasiii....
PENDEKEZO
tufanye kazi, tuachee tamaa matapeli wangenizidi akili wangenitapeli...
Nawasilisha...