Xavier Africa
Senior Member
- Oct 4, 2017
- 180
- 384
Kwanza poleni na majukumu ya weekend
Nisiwachoshe leo nimeamua kisimulia tukio lililotokea uswazi ninapo ishi ilikuwa hivi
Kuna polisi wa kike alikabwa na vibaka usiku alikuwa anatokea kazini wakampora na kumchania shati
Sasa kitimu timu kesho yake polisi field force wakaja na kufunga mtaa wote wakitembeza adhabu wakiwa na mbwa wao aina ya German sherphed
Watu wote wakawa wamejifungia ndani mimi sina habari nafua na mtoto wa mwaka mmoja yupo pembeni anacheza
Ghafla naona mbwa anakuja kasi usawa wa mtoto anataka kumng'ata nikaacha kufua na kumkimbilia dogo na kumuweka pembeni mara mbwa ashafika nikasimama strong namtizama usoni huku mlango nimeacha wazi akawa ananishitua ili nitikisike kanitisha mara ya kwanza siku tishika mara ya pili nikatishika akanirukia nikamkwepa akazama ndani ya nyumba nikafunga mlango hahahahha akaanza kubweka kwa sauti gafla polisi hao washafika wanaulizia mbwa wao anabwekea wapi wakasikia sauti inatokea ndani kwangu wakaniuliza haroo wewe ndo umefungia mbwa wetu ndani nikajibu ndiyo alitaka kumdhuru mwanangu
Wakaniuliza " wewe ni mwanajeshi"? Nikajibu hapana ni raia tu wakasema unafanya kazi gani nikajibu ni mfanya biashara nikafungua mlango wakabeba mbwa wao wakaondoka ila wakiwa na wasiwasi na kujiuliza huyu jamaa ni nani haswa hahahaha
TRUE STORY from temeke dsm
Nisiwachoshe leo nimeamua kisimulia tukio lililotokea uswazi ninapo ishi ilikuwa hivi
Kuna polisi wa kike alikabwa na vibaka usiku alikuwa anatokea kazini wakampora na kumchania shati
Sasa kitimu timu kesho yake polisi field force wakaja na kufunga mtaa wote wakitembeza adhabu wakiwa na mbwa wao aina ya German sherphed
Watu wote wakawa wamejifungia ndani mimi sina habari nafua na mtoto wa mwaka mmoja yupo pembeni anacheza
Ghafla naona mbwa anakuja kasi usawa wa mtoto anataka kumng'ata nikaacha kufua na kumkimbilia dogo na kumuweka pembeni mara mbwa ashafika nikasimama strong namtizama usoni huku mlango nimeacha wazi akawa ananishitua ili nitikisike kanitisha mara ya kwanza siku tishika mara ya pili nikatishika akanirukia nikamkwepa akazama ndani ya nyumba nikafunga mlango hahahahha akaanza kubweka kwa sauti gafla polisi hao washafika wanaulizia mbwa wao anabwekea wapi wakasikia sauti inatokea ndani kwangu wakaniuliza haroo wewe ndo umefungia mbwa wetu ndani nikajibu ndiyo alitaka kumdhuru mwanangu
Wakaniuliza " wewe ni mwanajeshi"? Nikajibu hapana ni raia tu wakasema unafanya kazi gani nikajibu ni mfanya biashara nikafungua mlango wakabeba mbwa wao wakaondoka ila wakiwa na wasiwasi na kujiuliza huyu jamaa ni nani haswa hahahaha
TRUE STORY from temeke dsm