Jinsi nilivyomtoa thamani

Jinsi nilivyomtoa thamani

Usipooa wewe wataoa wenzako na utakaekuja kumuoa wenzio wanamtumia saivi..inaitwa ngoma drooo...
 
Hizi dhamani mbona hatari ni sawa na kuokot sh 25 ya zamani ambayo ata sasa haina dhamani
 
Habari wakuu

Niliwahi kuvutiwa na binti fulani na aliingia moyoni haswa nikaweka nyadhiri kuwa nikimpata nitamuoa japo alinizungusha sana kiasi cha mwaka sijaona chini zaidi ya misimamo mikali kama Alqaeeda.

Ana sura ya kisomali kama si kinyarwanda, ana rangi nyeupe mithili ya chotara, ana kiuno chembamba kilichobinuka kwa nyuma bila kusahau chuchu ndogo kifuani.

Naam ana mzigo wa kutosha bila kusahau hips za maana, hakika sikuchoka na ahadi za kesho kesho kama kifaranga cha kuku ila jana ndiyo nikatunukiwa mambo yetu baada ya mwaka mzima.

Kabla ya kufanya lolote alipokuja nilikundua ndani HAKUVAA na hapo nikamtoa THAMANI

Wakati wa mazungumzo akanigusia kuwa jamaa aliyekuwa nae mwanzo waligombana sana na yeye akaamua kumvunjia jamaa mali zote za nyumbani, nikamtoa THAMANI

Kabla hata sijakuwa nae karibu mara ghafla akatafuta duka la koni kwa fujo sana.....nikamtoa THAMANI

Kumaliza vyombo tu akaniambia nimuoe haraka kwani amechoka KUHANGAIKA mara huyu mara yule, nikamtoa THAMANI

Nakiri kuwa nitaendelea kula mzigo murua na wa viwango lakini nasikitika sitamuoa kama nilivyopanga awali, wanawake kuweni makini sana katika siku za mwanzo za mahusiano kwani kosa dogo huweza kuharibu yote.
Ulivaaa zana mkuuu
 
Haishangazi kuona kuwa wanawake wengi siku hizi hawaoni umuhimu wa kuolewa ikiwa hawa ndio wanaume wanaotazamia kuoa.........

Bado hakuna wanaume wa kumfanya mwanamke ajute kwanini hajaolewa kama ilivyo zamani.....kwani kila siku anasikia habari mbaya za maisha ya ndoa kupitia kwa mashoga zake walioko kwenye ndoa.......
Hivyo na mimi nilikuwa nijiandae, siku akikasirika anivunjie kisabufa changu?
 
nasisitiza, umeshindwa kujitambua..Kaa chini tafakari..
Zaidi ya kujitambua kuwa hafai kuwa sababu akikasirika anavunja kila kitu, unataka kujitambua kupi? au ndio nyinyi hamjifunzi kwa wengine mpaka yakukute?
 
Zaidi ya kujitambua kuwa hafai kuwa sababu akikasirika anavunja kila kitu, unataka kujitambua kupi? au ndio nyinyi hamjifunzi kwa wengine mpaka yakukute?
done and fed up.Ciao!
 
wanaume wa siku hizi mnajua thamani ninyi?
ulitaka papuchi tu ushapewa tulia ,halafu utakuja kupata mwanamke kimeo wewe hutoamini?
mtu umemuomba k mwaka mzima leo umepewa unadai tena hakuvaa chupi? sasa mngefanya na chupi?
SWADAKTA
 
Bado hujakuwa kabisa.

Ulikuwa unamtafutia nini huyo binti? Amekupa ulichokitaka au hajakupa?

Unakuja kusema mambo yenu ya ndani wakati yeye mwanamke hajalalamika. Aicee.
 
Habari wakuu

Niliwahi kuvutiwa na binti fulani na aliingia moyoni haswa nikaweka nyadhiri kuwa nikimpata nitamuoa japo alinizungusha sana kiasi cha mwaka sijaona chini zaidi ya misimamo mikali kama Alqaeeda.

Ana sura ya kisomali kama si kinyarwanda, ana rangi nyeupe mithili ya chotara, ana kiuno chembamba kilichobinuka kwa nyuma bila kusahau chuchu ndogo kifuani.

Naam ana mzigo wa kutosha bila kusahau hips za maana, hakika sikuchoka na ahadi za kesho kesho kama kifaranga cha kuku ila jana ndiyo nikatunukiwa mambo yetu baada ya mwaka mzima.

Kabla ya kufanya lolote alipokuja nilikundua ndani HAKUVAA na hapo nikamtoa THAMANI

Wakati wa mazungumzo akanigusia kuwa jamaa aliyekuwa nae mwanzo waligombana sana na yeye akaamua kumvunjia jamaa mali zote za nyumbani, nikamtoa THAMANI

Kabla hata sijakuwa nae karibu mara ghafla akatafuta duka la koni kwa fujo sana.....nikamtoa THAMANI

Kumaliza vyombo tu akaniambia nimuoe haraka kwani amechoka KUHANGAIKA mara huyu mara yule, nikamtoa THAMANI

Nakiri kuwa nitaendelea kula mzigo murua na wa viwango lakini nasikitika sitamuoa kama nilivyopanga awali, wanawake kuweni makini sana katika siku za mwanzo za mahusiano kwani kosa dogo huweza kuharibu yote.

Nakiri kuwa nitaendelea kula mzigo murua na wa viwango lakini nasikitika sitamuoa kama nilivyopanga awali, wanawake kuweni makini sana katika siku za mwanzo za mahusiano kwani kosa dogo huweza kuharibu yote.
 
kwa kweli aliunja vyombo ..hata mimi nagegeda tu maanaakili hamna hapo...naoa anayejielewa..wasiojielewa tunaishia kugegeda tu au kupotezea mazima......ndio wanaume tulivo
 
Back
Top Bottom