Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
nasisitiza, umeshindwa kujitambua..Kaa chini tafakari..Unajua lakini ni thamani ya nini kijana? tunazungumzia thamani ya kuoa na sio mambo yote.
nasisitiza, umeshindwa kujitambua..Kaa chini tafakari..Unajua lakini ni thamani ya nini kijana? tunazungumzia thamani ya kuoa na sio mambo yote.
Ulivaaa zana mkuuuHabari wakuu
Niliwahi kuvutiwa na binti fulani na aliingia moyoni haswa nikaweka nyadhiri kuwa nikimpata nitamuoa japo alinizungusha sana kiasi cha mwaka sijaona chini zaidi ya misimamo mikali kama Alqaeeda.
Ana sura ya kisomali kama si kinyarwanda, ana rangi nyeupe mithili ya chotara, ana kiuno chembamba kilichobinuka kwa nyuma bila kusahau chuchu ndogo kifuani.
Naam ana mzigo wa kutosha bila kusahau hips za maana, hakika sikuchoka na ahadi za kesho kesho kama kifaranga cha kuku ila jana ndiyo nikatunukiwa mambo yetu baada ya mwaka mzima.
Kabla ya kufanya lolote alipokuja nilikundua ndani HAKUVAA na hapo nikamtoa THAMANI
Wakati wa mazungumzo akanigusia kuwa jamaa aliyekuwa nae mwanzo waligombana sana na yeye akaamua kumvunjia jamaa mali zote za nyumbani, nikamtoa THAMANI
Kabla hata sijakuwa nae karibu mara ghafla akatafuta duka la koni kwa fujo sana.....nikamtoa THAMANI
Kumaliza vyombo tu akaniambia nimuoe haraka kwani amechoka KUHANGAIKA mara huyu mara yule, nikamtoa THAMANI
Nakiri kuwa nitaendelea kula mzigo murua na wa viwango lakini nasikitika sitamuoa kama nilivyopanga awali, wanawake kuweni makini sana katika siku za mwanzo za mahusiano kwani kosa dogo huweza kuharibu yote.
Mapenzi sio siasa kwamba yasizungumzwe mpaka oct 25baada ya kuleta mambo ya chumbani hadharani nimekushusha thamani
Hivyo na mimi nilikuwa nijiandae, siku akikasirika anivunjie kisabufa changu?Haishangazi kuona kuwa wanawake wengi siku hizi hawaoni umuhimu wa kuolewa ikiwa hawa ndio wanaume wanaotazamia kuoa.........
Bado hakuna wanaume wa kumfanya mwanamke ajute kwanini hajaolewa kama ilivyo zamani.....kwani kila siku anasikia habari mbaya za maisha ya ndoa kupitia kwa mashoga zake walioko kwenye ndoa.......
Zaidi ya kujitambua kuwa hafai kuwa sababu akikasirika anavunja kila kitu, unataka kujitambua kupi? au ndio nyinyi hamjifunzi kwa wengine mpaka yakukute?nasisitiza, umeshindwa kujitambua..Kaa chini tafakari..
Hapana......bado anafaa kwa matumiziUlimtoa thamani kwa kuwa nyege zako ziliisha na si vinginevyo!
Sasa hapa unanishauri vipi?Usipooa wewe wataoa wenzako na utakaekuja kumuoa wenzio wanamtumia saivi..inaitwa ngoma drooo...
Nilikuwa nazo ila hazikutumika mkuu.Ulivaaa zana mkuuu
done and fed up.Ciao!Zaidi ya kujitambua kuwa hafai kuwa sababu akikasirika anavunja kila kitu, unataka kujitambua kupi? au ndio nyinyi hamjifunzi kwa wengine mpaka yakukute?
SWADAKTAwanaume wa siku hizi mnajua thamani ninyi?
ulitaka papuchi tu ushapewa tulia ,halafu utakuja kupata mwanamke kimeo wewe hutoamini?
mtu umemuomba k mwaka mzima leo umepewa unadai tena hakuvaa chupi? sasa mngefanya na chupi?
Habari wakuu
Niliwahi kuvutiwa na binti fulani na aliingia moyoni haswa nikaweka nyadhiri kuwa nikimpata nitamuoa japo alinizungusha sana kiasi cha mwaka sijaona chini zaidi ya misimamo mikali kama Alqaeeda.
Ana sura ya kisomali kama si kinyarwanda, ana rangi nyeupe mithili ya chotara, ana kiuno chembamba kilichobinuka kwa nyuma bila kusahau chuchu ndogo kifuani.
Naam ana mzigo wa kutosha bila kusahau hips za maana, hakika sikuchoka na ahadi za kesho kesho kama kifaranga cha kuku ila jana ndiyo nikatunukiwa mambo yetu baada ya mwaka mzima.
Kabla ya kufanya lolote alipokuja nilikundua ndani HAKUVAA na hapo nikamtoa THAMANI
Wakati wa mazungumzo akanigusia kuwa jamaa aliyekuwa nae mwanzo waligombana sana na yeye akaamua kumvunjia jamaa mali zote za nyumbani, nikamtoa THAMANI
Kabla hata sijakuwa nae karibu mara ghafla akatafuta duka la koni kwa fujo sana.....nikamtoa THAMANI
Kumaliza vyombo tu akaniambia nimuoe haraka kwani amechoka KUHANGAIKA mara huyu mara yule, nikamtoa THAMANI
Nakiri kuwa nitaendelea kula mzigo murua na wa viwango lakini nasikitika sitamuoa kama nilivyopanga awali, wanawake kuweni makini sana katika siku za mwanzo za mahusiano kwani kosa dogo huweza kuharibu yote.