Jinsi michepuko inavyompa raha mke wangu

Jinsi michepuko inavyompa raha mke wangu

kuna wanawake smart angekubamba tu au ndo ungempa vizawadi vyako hivyo vya chupi lol
Kuna mbinu ya kudili na mwanamke smart.

Cha kwanza jifanye fala kwake.....ili ajione yupo juu yako kumbe unamchora tu..... cha pili muache akuoneshe maujanja yake yote...hapa ili uweze kumjua vizuri utundu wake....cha Tatu tafuta uzaifu wake upo wapi..ili uweze jua jinsi ya kumshika ..hapa ukimpatia vizuri basi usha maliza yaani kama mbwa au paka hata awe mkali vipi wewe mshike shingoni kwa juu mnyanyue basi kazi imeisha atabaki tu anarembua rembua nikisha fanya hivyo vitu vituta tu utakua hauna maajabu tena .


Sema wanaume wengi wanafeli kwa sababu wanawakurupukia sana
 
Kuna mbinu ya kudili na mwanamke smart.

Cha kwanza jifanye fala kwake.....ili ajione yupo juu yako kumbe unamchora tu..... cha pili muache akuoneshe maujanja yake yote...hapa ili uweze kumjua vizuri utundu wake....cha Tatu tafuta uzaifu wake upo wapi..ili uweze jua jinsi ya kumshika ..hapa ukimpatia vizuri basi usha maliza yaani kama mbwa au paka hata awe mkali vipi wewe mshike shingoni kwa juu mnyanyue basi kazi imeisha atabaki tu anarembua rembua nikisha fanya hivyo vitu vituta tu utakua hauna maajabu tena .


Sema wanaume wengi wanafeli kwa sababu wanawakurupukia sana
aisee kumbe unajua kumuelewa mwanamke .
 
Yaan mke wang ana uwezo mkubwa sana wa kugundua kuwa nachepuka hadi nimeamua kufanya hata kama akijua shauri yake yaan ana hisia za hatar sana

Maana hata yeye kabla sjamuoa alikuwa ananisaliti tena kwa wanaume za watu,sasa mbinu zote anazijua,kacheza sana na wanaume za watu
Kudadeeeki 😂😂😂
 
Wife amekuwa ni mtu wa raha japo kuna vi ups and down ila muda mwingi raha imetawala.

Siku hadi siku wife anazidi kuwa kibonge mashavu yamenawiri na ngozi kuwa nzuri bila kutumia vipodozi. Anakula vizuri, analala vizuri, anaishi na mwanaume wa ndoto zake yaani kaona ameshamaliza hapa duniani mambo yake yote yapo kwenye mstari na kupelekea muda wake mwingi kuutumia kwenye mambo ya kifamilia na kiroho na hili nadiriki kusema upako Uliopo ndani ya nyumba yangu chanzo ni mke wangu niwe muwazi kabisa .

Lakini tatizo kubwa ambalo ninaliona mimi kwake ni kwamba hakunichunguza vizuri yaani yeye alivyoona amenipenda na amependwa Habari kwake zikaishia hapo. Zaidi ni kukoleza upendo kwangu na kujenga familia na kumcha Mungu basi ndio kazi alizobakiwa NAZO na kizuri zaidi she is a submissive wife, yaani mwanamke ambaye anasubiri command kutoka kwangu ili afanye jambo na aongeze na mbwembwe zake. Japo kuwa sio mpole kihivyo pale yanapokuja masuala ya kipuuzi hasa kwa watoto fimbo nje nje. Na huu userios hadi kwa mafundi akienda site.

Alipofeli ni kuwa anaishi na mwanaume mjanja sana kwake, yaani mwanaume mwenye ma skills ya kutosha hivyo imepelekea mambo mengi sana juu yangu kutoyajua, na hana hisia zozote juu yangu kuwa huwa nachepuka,

Ila pamoja na kuyajua haya sijawahi chukulia advantage ya kumuumiza au kufanya uzembe ajue kuwa nachepuka ndio kwanza nikichepuka ndio siku ninayorudi na mashamsham kama yote kwake mizawadi na mbwembwe kama zote plus u mister Bean kwake bila kusahau umandonga kuwa ajiandae kuna style moja mpya nakuja nayo kutoka Ukraine kwenye milipuko ya mabomu hiyo style akipigwa inamchukua kuanzia sebuleni....jikoni hadi chumbani sakafuni na kuangukia kitandani so akae mkao wa kula asivae chupi akivaa chupi nitaipitishia pembeni.

Aisee huyu mtoto wa mama mkwe nikimtumia hii meseji narudi nakuta mtoto wa watu kajiandaa na Ameloa hatari. Nikifika hata situmii muda mwingi ni kuchomeka tu utelezi shwaaaa . Nikimkojoza kachoka analala.

Akija kuamka nimemvalisha cheni, heleni au chupi mpya basi asubuhi mtoto wa watu anatabasam tu

NB
Michepuko ni kwa wanaume makini mno na wenye akili nyingi sana wanaoweza kukabiliana na mitego ya wanawake na mbinu ovu.....nje na hapo kama wanawake umewajulia ukubwani ACHA utatesa wanao bure
Mbona sijao a hiyo michepuko inampaje raha
 
Tofauti na ujanja kuna magonjwa na mikosi unapeleka nyumbani, uzinzi utakufilisi.
 
Wife amekuwa ni mtu wa raha japo kuna vi ups and down ila muda mwingi raha imetawala.

Siku hadi siku wife anazidi kuwa kibonge mashavu yamenawiri na ngozi kuwa nzuri bila kutumia vipodozi. Anakula vizuri, analala vizuri, anaishi na mwanaume wa ndoto zake yaani kaona ameshamaliza hapa duniani mambo yake yote yapo kwenye mstari na kupelekea muda wake mwingi kuutumia kwenye mambo ya kifamilia na kiroho na hili nadiriki kusema upako Uliopo ndani ya nyumba yangu chanzo ni mke wangu niwe muwazi kabisa .

Lakini tatizo kubwa ambalo ninaliona mimi kwake ni kwamba hakunichunguza vizuri yaani yeye alivyoona amenipenda na amependwa Habari kwake zikaishia hapo. Zaidi ni kukoleza upendo kwangu na kujenga familia na kumcha Mungu basi ndio kazi alizobakiwa NAZO na kizuri zaidi she is a submissive wife, yaani mwanamke ambaye anasubiri command kutoka kwangu ili afanye jambo na aongeze na mbwembwe zake. Japo kuwa sio mpole kihivyo pale yanapokuja masuala ya kipuuzi hasa kwa watoto fimbo nje nje. Na huu userios hadi kwa mafundi akienda site.

Alipofeli ni kuwa anaishi na mwanaume mjanja sana kwake, yaani mwanaume mwenye ma skills ya kutosha hivyo imepelekea mambo mengi sana juu yangu kutoyajua, na hana hisia zozote juu yangu kuwa huwa nachepuka,

Ila pamoja na kuyajua haya sijawahi chukulia advantage ya kumuumiza au kufanya uzembe ajue kuwa nachepuka ndio kwanza nikichepuka ndio siku ninayorudi na mashamsham kama yote kwake mizawadi na mbwembwe kama zote plus u mister Bean kwake bila kusahau umandonga kuwa ajiandae kuna style moja mpya nakuja nayo kutoka Ukraine kwenye milipuko ya mabomu hiyo style akipigwa inamchukua kuanzia sebuleni....jikoni hadi chumbani sakafuni na kuangukia kitandani so akae mkao wa kula asivae chupi akivaa chupi nitaipitishia pembeni.

Aisee huyu mtoto wa mama mkwe nikimtumia hii meseji narudi nakuta mtoto wa watu kajiandaa na Ameloa hatari. Nikifika hata situmii muda mwingi ni kuchomeka tu utelezi shwaaaa . Nikimkojoza kachoka analala.

Akija kuamka nimemvalisha cheni, heleni au chupi mpya basi asubuhi mtoto wa watu anatabasam tu

NB
Michepuko ni kwa wanaume makini mno na wenye akili nyingi sana wanaoweza kukabiliana na mitego ya wanawake na mbinu ovu.....nje na hapo kama wanawake umewajulia ukubwani ACHA utatesa wanao bure
Hongera zako mkuu
 
Wewe huwajui vizuri wanawake.Anajua Sana Ila hajataka tu maana Kuna ule msemo Ngombe wangu mwenyewe why nihangaike
 
Back
Top Bottom