The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,454
- 20,857
Cha kwanza... Akili yako ni ndogo sana kuweza kuelewa huu uzi.
Cha pili.... unajifanya mjuaji wakati huelewi chochote... akili ndogo sana kuendelea kutoa comment ukidhani unajua kumbe zero brain..
Cha tatu... source yangu ni maneno ya Mj mwenyewe ... kwa muda wako katafute speech yake kuhusu Sony akiielezea dunia ...
Cha nne.....Mj alikuwa akimiliki 50% ya Sony na issue sio kusaini mkataba kama wewe na upumbavu wako ulivyokurupuka hapa)
Issue ni misrepresentations kwenye mkataba wake na Sony iliyofanywa na attorney wake akishirikiana na Sony Music...
Cha tano... ukitaka ujue undani wa kifo cha MJ source ziko wazi kabisa zinaonyesha Uzembe uliofanya na D.k Conrad Murray mpaka akahukumiwa ...
Nenda kasome ushahidi uliotolewa na polisi ambapo ulichangia kumfunga Dk Murray utajua kabisa kuna watu walikuwa behind kifo chake...
Japo kichwa chako ni kigumu kama nazi utakuwa umeelewa kidogo... next time upunguze ujuaji
Idiot! Umeandika upuuzi mtupu, kuna kitu chochote chenye akili ulichoandika hapa zaidi ya kukusanya upupu kwenye website za udaku, umepanic dogo, kweny biashara dont expect fair treatment utakuwa unalia lia mtandaoni ni either unyonye au unyonywe ndio ubeberu huo