Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,012
Mexico: wamexico wanalima sana maparrachichi na kuyauza marekani. Marekani nao wanauza sana nafaka Mexico. pia Calfornia kunalimwa maparachichi. wamarekani ili kulinda wakulima wake wakapiga stop uagizaji wa parachichi kutoka Mexico. waliwaambia parachichi za mexico zitaleta fruit flies kwa wakulima wa Marekani. WWamexico wakawaambia sisi tunauza parachichi North East ambako hakulimwi parachichi na kuna baridi wadudu hawawezi kusurvive, wamarekani wakakaza.
wamexico wakasema kumbe ndivyo mlivyoo!, wakazuia uagizaji wa nafaka toka Marekani. wakulima wa nafaka wa US wakaanza kula hasara. Kuona hivyo US ikabidi waruhusu uagizaji wwa parachichi za Mexico na wamexico wakaruhusu nafaka ziingie.
NK: baada ya korean war NK ikawa inataka kujijenga. Nchi yeyote inahitaji chuma ili kujijenga (kasoro Tz). basi wakaiomba Japan iwauzie kinu cha kufulia chuma na ikakubali. US kusikia hivyo akamwambia mjepu asimuuzie NK kinu. baada ya kukataliwa kiongozii wa wakorea akawaambia wahandisi wake inabidi watengeneze kinu kwa ujuzi wao wenyewe. ndani ya muda mfupi jamaa wakawa wanazalisha chuma kwa teknolojia yao wenyewe.
wamexico wakasema kumbe ndivyo mlivyoo!, wakazuia uagizaji wa nafaka toka Marekani. wakulima wa nafaka wa US wakaanza kula hasara. Kuona hivyo US ikabidi waruhusu uagizaji wwa parachichi za Mexico na wamexico wakaruhusu nafaka ziingie.
NK: baada ya korean war NK ikawa inataka kujijenga. Nchi yeyote inahitaji chuma ili kujijenga (kasoro Tz). basi wakaiomba Japan iwauzie kinu cha kufulia chuma na ikakubali. US kusikia hivyo akamwambia mjepu asimuuzie NK kinu. baada ya kukataliwa kiongozii wa wakorea akawaambia wahandisi wake inabidi watengeneze kinu kwa ujuzi wao wenyewe. ndani ya muda mfupi jamaa wakawa wanazalisha chuma kwa teknolojia yao wenyewe.