Jinsi mashahidi watavyotoa ushahidi wao kesi ya Lissu

Jinsi mashahidi watavyotoa ushahidi wao kesi ya Lissu

Fahari ya kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
427
Reaction score
1,668
Hebu tucheke kwanza! Hii kesi gani kama si aibu tupu? Mnataka kumshtaki Lissu kwa nia tena ya watu wengine eti walihamasika wakati hakuna kitendo chochote? Kuweni na aibu kidogo @judiciarytz hebu DISMISS this case urgently!
Hakimu Kiswaga ulitaka livestream izimwe kwa sababu ulijua madudu haya na historia itakushangaa ila watakaoumbuka zaidi ni DPP na ofisi yake! Kweli kabsia mmeamua kuchafua CV zenu na huu utumbo?
Mtatushawishi vipi kuwa mna uwezo wa kusimamia haki?
Eniwei angalieni memes mcheke 🤣🤣
Kwa kifupi
#FreeTunduLissu IMMEDIATELY!
#NoReformsNoElection
 

Attachments

  • FB_IMG_1755661971576.jpg
    FB_IMG_1755661971576.jpg
    63.4 KB · Views: 37
  • FB_IMG_1755661968310.jpg
    FB_IMG_1755661968310.jpg
    97.8 KB · Views: 33
  • FB_IMG_1755661968726.jpg
    FB_IMG_1755661968726.jpg
    92.6 KB · Views: 37
  • FB_IMG_1755661957768.jpg
    FB_IMG_1755661957768.jpg
    90.8 KB · Views: 36
  • FB_IMG_1755661956228.jpg
    FB_IMG_1755661956228.jpg
    56.9 KB · Views: 40
  • FB_IMG_1755661956274.jpg
    FB_IMG_1755661956274.jpg
    205.2 KB · Views: 38
Hebu tucheke kwanza! Hii kesi gani kama si aibu tupu? Mnataka kumshtaki Lissu kwa nia tena ya watu wengine eti walihamasika wakati hakuna kitendo chochote? Kuweni na aibu kidogo @judiciarytz hebu DISMISS this case urgently!
Hakimu Kiswaga ulitaka livestream izimwe kwa sababu ulijua madudu haya na historia itakushangaa ila watakaoumbuka zaidi ni DPP na ofisi yake! Kweli kabsia mmeamua kuchafua CV zenu na huu utumbo?
Mtatushawishi vipi kuwa mna uwezo wa kusimamia haki?
Eniwei angalieni memes mcheke 🤣🤣
Kwa kifupi
#FreeTunduLissu IMMEDIATELY!
#NoReformsNoElection
We bwege nenda kaharishe huu uvundo wako
 
Back
Top Bottom