biashara kichaa hii. Anakatwa 383000 kwa miezi 84, sawa na mil32 ili apewe mil16!!!
Mzee wa kimasihara na huku upo?Hatari sanaa...! Bank nao kama.kaushaa damu tu siku hiziii.. Ubaya wanakata kiasi cha helaa hawawezi kata zaidi ya sheria inavyotakaa ndo maana inabdi upewe Muda mrefu wa kulipa denii humo ndo unajikuta unalipa Mara 3 ya deni.
Rick boy ujue wew ni legend mzee....usije ukatuambia ulikopa Benki Fulani kimasihara hv karbunKote nipe mkuu...!
Mzee wa kimasihara na huku upo?
😂😂😂Nilishawahi kuuliza sehemu
Wanasema unaweka pesa baada ya muda labda miezi sita ndio uanze kukopa nikabaki hiiiiiiii
Uwape pesa waizungushee ndio uje ukope 😄
Rick boy ujue wew ni legend mzee....usije ukatuambia ulikopa Benki Fulani kimasihara hv karbunila ule uzi wko ni nyoko aisee unatamba hd leo
Kuna watu wanavutaa bhangi sijuiiUwape pesa waizungushee ndio uje ukope
Mi nilishangaa maana walikuwa wanasema hawana riba nikamuuliza muhusika sasa mnajiendeshajeKuna watu wanavutaa bhangi sijuiiyani mimi nina shida nianze kukupa hel ili uje unikopesheee..
Kweli bhanaUwape pesa waizungushee ndio uje ukope 😄
Wewe fara sana usiwadharau walimYaani mkopo wa milioni 6 kwa miaka 8 huyo jamaa ni mpuuzisi achukue miaka miwili atakatwa kila mwezi 285,251 kwa miaka miwili na riba itakuwa 846,024 sawa na 6,846,024 kwa riba ya 13% huyo itakuwa mwalimu ndo wanapenda shida
Siku utakayojitambua tengua kauli hii kwa kuwapuuza walimu.Walimu wa St. Kayumba ndiyo wengi, na lugha inayoandikwa kwenye mkataba ni changamoto kwao!
Mpwayungu njoo umuone huyu jamaa. Ila mm sichukii walimu kijana.Wewe fara sana usiwadharau walim
Aisee embu acha hizo fikra zako potofu juu ya walimu kwasababu wakopaji bank ni watumishi wote na sio walimu tu. Mtumishi yeyote anaweza akachukua mkopo mdogo na akasema akatwe miaka mingi. Kila mtu ana uamuzi juu ya muda wa kukatwa kwahiyo acha hizo kashfa zako juu ya walimu. Walimu hawajakufunza ili uje kuwa adui yao na kuwasingizia mabaya kila mara. Asiyeheshimu walimu hana akili timamu.Yaani mkopo wa milioni 6 kwa miaka 8 huyo jamaa ni mpuuzisi achukue miaka miwili atakatwa kila mwezi 285,251 kwa miaka miwili na riba itakuwa 846,024 sawa na 6,846,024 kwa riba ya 13% huyo itakuwa mwalimu ndo wanapenda shida