kalanga1
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 318
- 422
Habari wanajamvi wenzangu,
Nimepatwa na matatizo kidogo naomba msaada wenu wa haraka sana. Week kama moja iliopita nilikuwa na ugomvi na mtu ikapelekea nikamtukana sana na pia nilimwambia maneno ambayo akitumia sheria atanifunga.
Sasa huyo mama kaenda police kafungua kesi, nikaitwa sikwenda, alichokifanya katafuta wataalam wa IT leo eti wameanza kunitrack ili wanikamate, na sasa hivi wamenitumia Location zangu za leo tangu asubuhi nilikuwa wapi na wapi wamenitumia, naombeni mnisaidie jinsi ya kufanya ili ku-hide location. Wakinitrack wasinione tena. Wamenitrack kupitia google map.
Plz naombeni sana mnisaidie
Nimepatwa na matatizo kidogo naomba msaada wenu wa haraka sana. Week kama moja iliopita nilikuwa na ugomvi na mtu ikapelekea nikamtukana sana na pia nilimwambia maneno ambayo akitumia sheria atanifunga.
Sasa huyo mama kaenda police kafungua kesi, nikaitwa sikwenda, alichokifanya katafuta wataalam wa IT leo eti wameanza kunitrack ili wanikamate, na sasa hivi wamenitumia Location zangu za leo tangu asubuhi nilikuwa wapi na wapi wamenitumia, naombeni mnisaidie jinsi ya kufanya ili ku-hide location. Wakinitrack wasinione tena. Wamenitrack kupitia google map.
Plz naombeni sana mnisaidie