Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,058
Duh !!!! Kutukana kwenye simu sio fresh maana kun a lot of evidence na mahakama inakutia hatiani,just cool down tuma watu wakaongee nae then mfate ukaombe msamaha yaishe. Utajificha ficha mpaka lini ? Omba msamaha,kwani sh ngapi au utapungukiwa na nini ???