Umeongea vema. Kama hujui kujenga hoja na umemaliza walau Form Four, peleka cheti chako haraka NECTA kihakikiwe.wakuu jf habar
najua mko nahuzuni sana kwa msiba nilisikia pale juzi ilikuwa 6th/may kwakweli najua taifa liko kwenye majonsi ya hali ya juu kabisa
nachotaka kujua ni jinsi gani naweza kuandaa mada yoyote ambayo ina-make sense kwa watu najua humu kuna maproffesor,doctors na watu wanaofanyia works shop mbali mbali walimu kibao wamejazana humu wenye uelewa wa hali ya juu (great thinkers)
mwenye kujua mbinu jinsi gani naweza andaa mada, au hoja mbali mbali anieleze obviously siwezi kwendana na spidi yenu watu wa humu jf najua nyie mna uelewa kupita mimi sana tu
karibuni[emoji120] [emoji120]
Kwa hiyo mtu aliyesoma ndio mwenye uwezo wa kujenga hoja pekee??Umeongea vema. Kama hujui kujenga hoja na umemaliza walau Form Four, peleka cheti chako haraka NECTA kihakikiwe.
Bado hujakua mkubwa ,ngoja ukikua kwanza utajua tu taratibu.wakuu jf habar
najua mko nahuzuni sana kwa msiba nilisikia pale juzi ilikuwa 6th/may kwakweli najua taifa liko kwenye majonsi ya hali ya juu kabisa
nachotaka kujua ni jinsi gani naweza kuandaa mada yoyote ambayo ina-make sense kwa watu najua humu kuna maproffesor,doctors na watu wanaofanyia works shop mbali mbali walimu kibao wamejazana humu wenye uelewa wa hali ya juu (great thinkers)
mwenye kujua mbinu jinsi gani naweza andaa mada, au hoja mbali mbali anieleze obviously siwezi kwendana na spidi yenu watu wa humu jf najua nyie mna uelewa kupita mimi sana tu
karibuni[emoji120] [emoji120]
Inawezekana unamjibu baba ako utumbo bila kujuaBado hujakua mkubwa ,ngoja ukikua kwanza utajua tu taratibu.
Usikimbilie suti kabla ya kuvaa nepi.