nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
uko na verified ID ukidhani utakumbukwa cheo cha ufagizi ofisi za lumumba kwa kuutukana upinzani!!!mkuu Evarist Chahali hawa wapinzani wa nchi hii ni sikio la kufa...Tuliwaambia kuhusu EL hawakusikia.
Hapa ni kuwa ccm itatawala miaka yote nami namsapoti Jpm na serikali yake.
chADEma ni wahuni flulani
linganisha kura za slaa 2010 na lowassa 2015