BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,024
- 4,301
Dah kuna wenzetu mna roho na mioyo ya chuma aiseeee
Nakazia hapaMtu mwenye nuksi me/ke ukioana nae tu kipimo utakiona kwenye kuvurugika kwa mambo yako. Kipato lazima kipungue, mwenye baraka au kibali mkioana masikini utashangaa mambo yako KILA ufanyalo linatiki tu.
Hizi ajira zetu dah ukiikosa jua ndoa imeisha tayari ni mwendo wa vibweka tu
Mtu mwenye nuksi me/ke ukioana nae tu kipimo utakiona kwenye kuvurugika kwa mambo yako. Kipato lazima kipungue, mwenye baraka au kibali mkioana masikini utashangaa mambo yako KILA ufanyalo linatiki tu.
Msaidieni jamani asife. Muunganishe na Idd Makengo japo apate counseling au niunganishe naye nimpe ushauri wa kitaalamuJamaa yangu kibarua kiliota anaumwa figo kasusiwa nyumba hata wa kumchotea maji hana ndani jumba kubwa anaishi mwenyewe na njaa mke kabeba watoto kakimbia.
Shida ni ya kwako raha kwa wote.