Jini Mahaba? Pepo la Ngono? Mfadhaiko?

Jini Mahaba? Pepo la Ngono? Mfadhaiko?

Kongosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
35,987
Reaction score
24,226
hayo maneno matatu hapo juu huwa nayasikia yanatumika sana, kiukweli huwa naenda na mukmbo tu sababu siyaelewi vizuri.

Jini mahaba ni nini? Na humpata mtu wakati gani? Kwa nini huhusishwa na mtu kuota akingonoka?

Pepo la ngono ni nini? Na humpata mtu wakati gani? Kwa nini huhusishwa na mtu kuwa active sana kingono?

Mfadhaiko ni nini? Humpata mtu wakati gani? Je jinsia zote mbili hupatwa na mfadhaiko?

Hebu nisaidieni kudadavua, EMT usipite pande hii.
 
Last edited by a moderator:
Majini ni nini?

Majini ni viumbe ambao wameumbwa kwa Moto na walikuwa wakiishi duniani kabla ya binadamu miaka Milioni nyingi iliyopita.

Viumbe hawa wana tabia kubwa mbili;
Yaani ya kibinadamu kwa maana wanakuwa wanafanya mapenzi, wanazaa na wanakufa.
Tabia nyingine ni ya Kimalaika ambayo ni kwamba wana uwezo wa kujigeuza katika umbo lolote wanalotaka na vile vile wanaruka na kwenda wanakotaka au kupita wanakotaka bila kutumia chombo chochote.
Taifa la Majini limegawanyika katika makabila Milioni Sabini na mbili (72,000,000) na wana uwezo wa kujifunza lugha yeyote wanaoitaka.


Idadi ya Majini ni kila Binadamu mmoja kuna Majini 300 na wanaishi katika Majumba yetu, kwenye Miti, Majangwani, Kwenye Mapango na Sehemu zenye Misitu Mikubwa.



Majini wako katika aina Mbili (2); Maruhani na Mashetani.

Maruhani ni Majini wema ambao wanamtii Mwenyezi Mungu na wanawasaidia Binadamu katika mambo mengi.
Mashetani ni Majini Waovu ambao ni wakorofi na wanawaletea Watu madhara na Matatizo mara kwa mara.
Baba wa Majini anaitwa JANN ambaye kimaumbile yeye ana tofauti ndogo na wenzie kwamba yeye ameumbwa kwa ulimi wa Moto.
Pamoja na mambo mengi wanayoyafanya Majini na kujihusisha na binadamu, Majini vilevile wanafanya kazi za Malaika hasa zile za mambo ya kupeleka Habari na kuwalinda Binadamu, mambo ya doria za Angani. Kazi hizi siyo zao lakini kwa vile wanapenda kuiga mambo basi huiga hata kazi ambazo siyo zao.
Majini na Binadamu wana sifa zinazofanana kwani wote wana akili na wote watahesabiwa siku ya Kiama na watazawadiwa kwa mema yao na maovu yao, wote wanakula na kuzaa.
Kama ilivyo, kuna wataalamu wa Kijini wenye fani sawa na Wataalamu wa Kibinadamu wenye kufanya kazi zinazofanana.
Tofauti kubwa iliyopo kati ya Majini na Binadamu ni kwamba; Majini hawana maumbile maalum na wana uwezo wa kujibadilisha katika maumbile mbalimbali ingawa wengi wa Majini wapo katika maumbile ya paka, nyoka na ndege.
Binadamu wao wana umbile maalum ambalo halibadiliki.

Majini wana uwezo wa kuwaingia Binadamu wakati Binadamu hawana uwezo wa kuwaona Majini isipokuwa kwa ufundi maalum.


Namna Majini wanavyowaingia Binadamu iko katika njia tatu:-



  1. [*]Njia ya kwanza (1): ni kama Remote Control; Hii inamfanya yule aliyedhibitiwa kuweza kuelewa au kuwa na fahamu zake lakini anakuwa hawezi yeye mwenyewe kuudhibiti mwili wake na anasema yale anayotaka yule Jini.
    [*]Njia ya Pili (2); Jini humwingia Binadamu ndani ya utosi na kuingia katika Mfumo wa Damu. Hii inamfanya yule Binadamu kupoteza fahamu na anakuwa haelewi kabisa kinachoendlea na anafanya yote anayotaka yule Jini.
  2. Njia ya Tatu (3) ni ile ya Jini kukaa nyuma ya Binadamu. Njia hii humfanya yule Binadamu anakuwa hapotezi fahamu ila anakuwa hawezi kufanya lolote na mwili wake.
{mospagebreak}
Majini vilevile wana uwezo wa Kusafiri kwa kasi ya upepo bila kutumia chombo chochote; Binadamu hana uwezo huo isipokuwa kwa msaada wa Majini.

Hiyo ni kusema kwamba mambo yote yanayofanywa na Wachawi na Wanga hayawezekani isipokuwa kwa msaada wa Kijini.

Jambo la muhimu ni kwamba pamoja na uwezo mkubwa walionao Majini, Wanadamu wana uwezo wa Kumtawala na Kumdhibiti Jini na vivyo hivyo Majini nao wanaweza kumtawala na kumdhibiti Binadamu wote kwa kutumia utaalamu maalum.

Wako Majini wa kila Dini na kila Kabila, na kuna watu wanaofuga Majini kwa kujikinga, na kwa kuboresha kazi zao au kujipatia utajiri. Pia kuna watu wanaofunga ndoa na Majini kwa kutumia utaalamu au kwa hiari za Majini hao.

Wabaya wa Majini ni Mashetani ambao wengi hawana Dini na ndio wanaoharibu mimba za Wazazi na kufanya mapenzi na watu usingizini bila hiari zao.
Kuepuka usichafuliwe kimapenzi, kabla ya kulala piga Bismillahi kwa Muislamu au taja jina la Yesu mara tatu kwa Mkristo.

MAUMBILE YAO YAKOJE?



  • [*]Majini wana maumbile makuu manne (4);
    [*]Wanakuwa katika maumbile ya Nyoka.
    [*]Wanakuwa katika maumbile ya Nge.
    [*]Wanakuwa katika maumbile ya Mbwa.
    [*]Wanakuwa katika maumbile ya Paka (Mweusi).
  • Kuna Majini wengine hawana maumbile yeyote na hawa shughuli yao ni kuruka hewani kuzunguka huku na kule na husafiri mbali kwa mara moja yaani kufumba na kufumbua.

SURA ZA MAJINI NA MASHETANI:


Majini sura zao ni za kutisha na mfano wake ni kama Matunda ya Mti wa Zaqum ambao unatoa matunda yenye sura mbaya na yanayofanana na mawe.

Majini wanakuwa na mkutano kila siku nyakati za kuchomoza na kuzama Jua na nyakati hizo ndizo ambazo wanafanya maasi yao.
Fitna na Maasi yao mengi wanafanyia upande wa Mashariki.
Majini vilevile wanaweza kujigeuza kama mbwa mweusi au paka mweusi kwa sababu Majini wanapenda Rangi Nyeusi kwa sababu ya kiza.

WANAKULA NINI?

Majini wao wanakula mifupa na mavi ya farasi. Hivyo ni vyaluka vyao vikuu pamoja na kwamba wengine wanakula Moshi (Ubani) na wengine wanapenda kunywa damu.
Wanapokula au kunywa, wao hutumia mkono wa kushoto na Majini wazuri ndio ambao wanakula mifupa mizuri na kuwaachia mifupa mibaya na uchafu Majini wabaya au Mashetani.

JE MAJINI WANAZAA?


Majini wanaoa na kuongezeka kama tulivyo Binadamu na huzaana kwa wingi sana.

Katika wao kuna wale wanaokula na kuoana na kuna wale ambao hawafanyi hayo.
Binadamu Mwanamume ana uwezo wa kumuoa Jini Mwanamke na Jini wa Kiume ana uwezo wa kumuoa Binadamu Mwanamke pamoja na kwamba ndoa inayotambulika na Mwenyezi Mungu ni ya kiumbe kwa kiumbe yaani Binadamu kwa Binadamu na Jini kwa Jini.
Haya ni baadhi ya maelezo kuhusu Majini, zidi kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwani hii ni mwanzo tu na tutazidi kuwaletea habari za ndani kuhusu majini na tabia zao, jinsi ya kujikinga nao au kushirikiana nao[/SIZE].

[COLOR=#333333][FONT=lucida grande][SIZE=3]Huyu ni JINI MAHABA wa Kike anaitwa SUCCUBI huwajia wanaume na kufanya nao Mapenzi
[/SIZE]
[/FONT][/COLOR]
 
Mkuu Kongosho bahati mbaya haya madudu mimi siamini kama yapo, huwa nayasoma tu hapa jamvini. Nitaufutilia huu uzi kwa karibu ili kuona kama naweza kubadili msimamo wangu.

hayo maneno matatu hapo juu huwa nayasikia yanatumika sana, kiukweli huwa naenda na mukmbo tu sababu siyaelewi vizuri.

Jini mahaba ni nini? Na humpata mtu wakati gani? Kwa nini huhusishwa na mtu kuota akingonoka?

Pepo la ngono ni nini? Na humpata mtu wakati gani? Kwa nini huhusishwa na mtu kuwa active sana kingono?


Mfadhaiko ni nini? Humpata mtu wakati gani? Je jinsia zote mbili hupatwa na mfadhaiko?

Hebu nisaidieni kudadavua, EMT usipite pande hii.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kongosho bahati mbaya haya madudu mimi siamini kama yapo, huwa nayasoma tu hapa jamvini. Nitaufutilia huu uzi kwa karibu ili kuona kama naweza kubadili msimamo wangu.
Mkuu BAK ngojea mpak uwe nalo hilo Jini Mahaba ndio utakapo amini na utakuwa unafanya nalo mapenzi kila siku usiku na hutatamani Mwanamke wa kibinadamu maishani mwako. Na hutaweza kuishi na mke katika maisha yako ule wako likupende umekwisha .

Vipi bibie King'asti hujambo? Unaniita asubuhi yote? Kulikoni?
 
Last edited by a moderator:
LoL!!! Dr MziziMkavu hauchimbwi dawa!!!! Bahati mbaya pia sijawahi kusikia hadithi kama hizi hata kwa watu wangu wa karibu wakiwemo marafiki. Ngoja watu watitirike labda naweza kuamini japo kwa 5% lakini kwa sasa bado naamini ninavyoamini.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli hata mie siyaelewi na kuyaamini

Siku naanzisha hii sred niliona mahali watu wanasema ana 'jini mahaba' sababu tu ni active sana kwenye sex

Nikataka kujua, wengine wanaonaje? Isije kuwa mtu yuko mzima mnasokomeza ubani bure

Mkuu Kongosho bahati mbaya haya madudu mimi siamini kama yapo, huwa nayasoma tu hapa jamvini. Nitaufutilia huu uzi kwa karibu ili kuona kama naweza kubadili msimamo wangu.
 
Huyu jini mahaba wa kiume anaonyesha anafaidi sana mkuu! nlipata kusikia mdada jiran yangu alipatwa na jini mahaba kumbe ndo hili_? aiseee!

Alafu haya majin wa kiume wanachaguaga vyombo vya ukweli sana mkuu.
 
Unataka kuamini kwa logic na scientific facts au kwa Imani?
Pia huamini kama kuna mapepo/majini au majini mahaba/pepo la ngono?

Hujawahi sikia kuhusu pepo la udokozi?
 
Tatizo langu, neno likishatanguliwa na neno 'pepo' tu

Ndio hapo nachanganyikiwa, liwe pepo la udokozi, uimbaji au ngono


Nataka nielewe kwa mtindo wowote

Unataka kuamini kwa logic na scientific facts au kwa Imani?
Pia huamini kama kuna mapepo/majini au majini mahaba/pepo la ngono?

Hujawahi sikia kuhusu pepo la udokozi?
 
Unataka kuamini kwa logic na scientific facts au kwa Imani?
Pia huamini kama kuna mapepo/majini au majini mahaba/pepo la ngono?

Hujawahi sikia kuhusu pepo la udokozi?

hivi majini huwa wanawatupia binadamu vitu/tabia mbaya?

Huwa nasikia tu mara anapepo la ngono, hasira, wizi, kuchukiwa, pepo la umasikini, nk.
Hakunaga mapepo yanayofanya kinyume na haya?
 
Bado hujajibu kama unaamini uwepo wa mapepo.

Tatizo langu, neno likishatanguliwa na neno 'pepo' tu

Ndio hapo nachanganyikiwa, liwe pepo la udokozi, uimbaji au ngono


Nataka nielewe kwa mtindo wowote
 
Kinachofanya kinyume na hayo ni roho mtakatifu.
hivi majini huwa wanawatupia binadamu vitu/tabia mbaya?

Huwa nasikia tu mara anapepo la ngono, hasira, wizi, kuchukiwa, pepo la umasikini, nk.
Hakunaga mapepo yanayofanya kinyume na haya?
 
Kwa imani na mtazamo wangu, the force behind all evil au addictions zinazopelekea kumdhuru muhusika au kumkosesha raha/amani ni evil spirit (waweza ita jina lolote).

The force behind all good ni holy spirit.
And the role of binadamu ni kuchagua nani wa kukuongoza.
How????
Ndio vitabu vinatuambia, (praying, fasting, giving, loving). Matendo mema na kumuomba mungu hutuweka ktk nafasi ya ushindi. Kufunga hutupa nguvu ya kuweza kuicontrol miili na mioyo yetu kwa forthcoming vishawishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom