Jini Mahaba? Pepo la Ngono? Mfadhaiko?

Jini Mahaba? Pepo la Ngono? Mfadhaiko?

MziziMkavu
Jini anapomuoa binadamu kinyume na ridhaa yake hata binadamu asioe/kuolewa maisha yake yote na binadamu wenzake Je hukumu ya Mungu itamgusa binadamu?
+
Jini ni kiumbe kama viumbe wengine aliowaumba Mwenyeezi Mungu na yey pia atahukumiwa kesho Siku ya Hukumu. Akikupenda huwa ndio anakufanya uwe Mke wake au mume wake inategemea ukiwa ni Dume utapatwa na JINI Mwanamke ukiwa ni Mwanamke utapatwa na Jini dume ndio hivyo. cc Himidini
 
Last edited by a moderator:
Kama hawana madhara ntaftie mmoja mrembo mrembo! mautundu wanayajua kama binadamu?
Wana madhara Mkuu masharti yao ni magumu huwezi kutimiza usizini, usilewe. Wana Wivu sana hawafai hata kidogo Starehe watakupa na wana mapenzi kupita hata Binadamu ila Wivu wanao mwingi sana akikufumania na Mwanamke mwengine atakuuwa tu hawana huruıma hata kidogo kimapenzi.cc makavulaivu
 
Last edited by a moderator:
Jini ni kiumbe kama viumbe wengine aliowaumba Mwenyeezi Mungu na yey pia atahukumiwa kesho Siku ya Hukumu. Akikupenda huwa ndio anakufanya uwe Mke wake au mume wake inategemea ukiwa ni Dume utapatwa na JINI Mwanamke ukiwa ni Mwanamke utapatwa na Jini dume ndio hivyo. cc Himidini

MziziMkavu
asante
++
 
Last edited by a moderator:
Naamini ya kwenye biblia

Nahusisha mapepo na kurukwa akili

unaamini yaliyoandikwa kwenye biblia?
Au unafikiri mapepo yalikuwepo kipipndi cha Yesu tu au huamini juu ya uwepo wa Mungu altogether!
 
Naamini ya kwenye biblia

Nahusisha mapepo na kurukwa akili

Mimi hata sielewi unaamini nini na huamini nini; so Yesu yule mtu aliyemtoa mapepo alikuwa amerukwa na akili? Na mapepo hayawezi kusababisha mtu kuwa kichaa?

Na BIG QUESTION, mambo yaliyotokea during biblical times (mapepo, ukoma, magonjwa, uzinzi) hayatokei na sasa? Kama magonjwa, vita na vifo vilivyoripotiwa kipindi cha Yesu vinatokea sasa, kwanini kupagawa na mapepo hudhani havipo sasa na badala yake ni kurukwa na akili? Either you believe all or you dont believe kabisa.
Na ironically ukiamini kama hakipo hakipo tu (kuamini kwako hakufanyi kiwepo kisichokuwepo) na kama KIPO hata kama HAUMINI basi hakipotei just because haumini. In your mind (your world) maybe but in real world kilichopo kipo!
 
Hivi unajua kuna vitu ambavyo zamani kanisa likikuwa linaamini ni mapepo, lakini sasa hivi wamegundua ni magonjwa ya akili?


Vita, njaa na vingine kuwepo enzi za Yesu na kuendelea kuwepo sasa ni sawa, lakini kuna vingine havikuwa na majibu kipindi kile, siku hizi vina majibu. Ujue kuna enzi katika biblia waliamini dunia ni flat??

Ujue enzi za Yesu pia miujiza ilikuwa mingi,sana, ina maana hadi sasa miujiza ile bado ipo?

Mimi hata sielewi unaamini nini na huamini nini; so Yesu yule mtu aliyemtoa mapepo alikuwa amerukwa na akili? Na mapepo hayawezi kusababisha mtu kuwa kichaa?

Na BIG QUESTION, mambo yaliyotokea during biblical times (mapepo, ukoma, magonjwa, uzinzi) hayatokei na sasa? Kama magonjwa, vita na vifo vilivyoripotiwa kipindi cha Yesu vinatokea sasa, kwanini kupagawa na mapepo hudhani havipo sasa na badala yake ni kurukwa na akili? Either you believe all or you dont believe kabisa.
Na ironically ukiamini kama hakipo hakipo tu (kuamini kwako hakufanyi kiwepo kisichokuwepo) na kama KIPO hata kama HAUMINI basi hakipotei just because haumini. In your mind (your world) maybe but in real world kilichopo kipo!
 
Hivi unajua kuna vitu ambavyo zamani kanisa likikuwa linaamini ni mapepo, lakini sasa hivi wamegundua ni magonjwa ya akili?


Vita, njaa na vingine kuwepo enzi za Yesu na kuendelea kuwepo sasa ni sawa, lakini kuna vingine havikuwa na majibu kipindi kile, siku hizi vina majibu. Ujue kuna enzi katika biblia waliamini dunia ni flat??

Ujue enzi za Yesu pia miujiza ilikuwa mingi,sana, ina maana hadi sasa miujiza ile bado ipo?

Usiniambie nawe umeipata hiyo story ya wakatoliki? I dismissed it the moment l heard it from cousin who is a shemasi. HIyo ni kutafuta logical explaination kwenye maswala ya imani ili kuwin the growing scientific population. Okay suppose ni ugonjwa wa akili or whatever, kama huo ugonjwa unaweza ondolewa kwa jina la Yesu then to me haina mshiko.

Did you know biblia ilitangulia kabla ya kanisa; so huo uamuzi wa kanisa haufuti 'ukweli' uliopo kwenye biblia.
 
kama kuota ni kuwa na majini hayo mi ninayo mengi sana maana naotaga hadi nasagana ila na watu wazuuuuuuuuuri hawana mapembe kama hao.
Hivi MziziMkavu nauliza hizo picha zililipigwaje mpaka kuwaona wanamapembe? MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, unfortunate am a catholic

Na hapo kwenye mapepo huwa sipaelewi kabisa
Kuna muda huwa nahudhuria mafundisho ya mwakasege, nachopenda ni mafundisho

Lakini ile part ya uponyaji, huwa nahisi inahusiana na 'desperation', kama kweli kuna watu wanapokea miujiza hiyo, am happy for them. Hata wale wanaanguka na mapepo, huwa sielewi huwa nahisi ni 'feeling of guiltiness'

Usiniambie nawe umeipata hiyo story ya wakatoliki? I dismissed it the moment l heard it from cousin who is a shemasi. HIyo ni kutafuta logical explaination kwenye maswala ya imani ili kuwin the growing scientific population. Okay suppose ni ugonjwa wa akili or whatever, kama huo ugonjwa unaweza ondolewa kwa jina la Yesu then to me haina mshiko.

Did you know biblia ilitangulia kabla ya kanisa; so huo uamuzi wa kanisa haufuti 'ukweli' uliopo kwenye biblia.
 
Ha ha ha ha, unfortunate am a catholic

Na hapo kwenye mapepo huwa sipaelewi kabisa
Kuna muda huwa nahudhuria mafundisho ya mwakasege, nachopenda ni mafundisho

Lakini ile part ya uponyaji, huwa nahisi inahusiana na 'desperation', kama kweli kuna watu wanapokea miujiza hiyo, am happy for them. Hata wale wanaanguka na mapepo, huwa sielewi huwa nahisi ni 'feeling of guiltiness'

what do you think l am? i am also Catholic; lakini vitu vingine ni vya kiimani zaidi kuliko logic. Maana bado kidogo mtaanza kuita hata walio na vipaji vya Roho Mtakatifu kuwa ni Vichaa; na kwamba kama haiwezi kuwa explained na kueleweka katika viubongo vyetu then si kweli au tunadismiss.

Kuna story moja ya Mt. mmoja hivi ambaye alikuwa anatafakari kuhusu utatu mtakatifu; akawa anakaa ufukweni mwa bahari akijaribu kutafuta logical explaination ya Holy Trinity. siku moja akamuona mtoto mdogo amechimba kishimo chake kwenye shore, halafu anachukua maji kwenye kikopo kutoka baharini anajaza kishimo chake. Ameendelea hivyo kwa muda mwisho yule Mt. akamuuliza (huku akiwa annoyed kidogo) lengo lake hasa ni nini. Yule mtoto akasema kuwa, anataka kuyaamisha maji yote ya bahari yaende kwenye kishimo chake. Yule mt. akamwambia huoni udogo wa hicho kishimo na ukubwa wa hii endless bahari. mtoto naye akamwambia, ukubwa wa shimo hili ni sawa na akili zako, na ukubwa wa bahari ni sawa na fumbo la utatu mtakatifu, hivyo huwezi kulielewa kwa kutumia akili zako hizo na mtoto akapotea. So from that day, yule mt. akalikubali na kuliamini bila kutafuta hizo logical explainations ambazo kanisa la sasa linajaribu kutafuta.
 
navyojua mimi hakuna majini mema, jini ni jini tu na ni mashetani. kuna categories za hawa mashetani e.g mapepo, majinamizi, majini, vibwengo etc. hawa wote ni mashetani na mission yao ni moja tu ya kumwangamiza binadamu na kumfanya asimwabudu Mungu muumba mbingu na nchi ila amwabudu shetani.

ukikataa kuyatumikia ndo yanakutesa mpaka mwanaume mwenyewe YESU aingilie kati na hata ukiamua kuyatumikia kwa moyo wako wote, mwishoni lazima yatakumaliza. hakujawahi na hakutakuwapo urafiki kati ya mwanadamu na shetani. kuna wanaoyatafuta wenyewe na kuna wanaoyapata kupitia koo na familia zao, mtu anakuwa na mapepo, majini and the like bila kujijua ila unakuta mambo yake hayaendi lakini hajui tatizo nini.
hiyo ni laana ya ukoo au familia na ni kwa njia ya deliverance au maombi ya kufunguliwa ndo hiyo laana inavunjwa.

All in all mwanadamu hana nguvu ya kujikinga asidhurike na haya mavitu. ni kwa kuokolewa kwa damu ya YESU peke yake ndo mtu anaweza kushindana na nguvu zozote za giza.

YESU ndiye kiboko ya haya mavitu yote.
 
what do you think l am? i am also Catholic; lakini vitu vingine ni vya kiimani zaidi kuliko logic. Maana bado kidogo mtaanza kuita hata walio na vipaji vya Roho Mtakatifu kuwa ni Vichaa; na kwamba kama haiwezi kuwa explained na kueleweka katika viubongo vyetu then si kweli au tunadismiss.

Kuna story moja ya Mt. mmoja hivi ambaye alikuwa anatafakari kuhusu utatu mtakatifu; akawa anakaa ufukweni mwa bahari akijaribu kutafuta logical explaination ya Holy Trinity. siku moja akamuona mtoto mdogo amechimba kishimo chake kwenye shore, halafu anachukua maji kwenye kikopo kutoka baharini anajaza kishimo chake. Ameendelea hivyo kwa muda mwisho yule Mt. akamuuliza (huku akiwa annoyed kidogo) lengo lake hasa ni nini. Yule mtoto akasema kuwa, anataka kuyaamisha maji yote ya bahari yaende kwenye kishimo chake. Yule mt. akamwambia huoni udogo wa hicho kishimo na ukubwa wa hii endless bahari. mtoto naye akamwambia, ukubwa wa shimo hili ni sawa na akili zako, na ukubwa wa bahari ni sawa na fumbo la utatu mtakatifu, hivyo huwezi kulielewa kwa kutumia akili zako hizo na mtoto akapotea. So from that day, yule mt. akalikubali na kuliamini bila kutafuta hizo logical explainations ambazo kanisa la sasa linajaribu kutafuta.


na kwa kuongezea msisitizo huyo alikuwa mtakatifu Augustine.
 
Hii story nishawahi kuisikia

Lakini kwangu mimi naelewa concept ya utatu mtakatifu kuliko mapepo

Kwani father Nkwera ilikuwaje? Si alitengwa? Alikuwa na roho mtakatifu kweli au nini?

what do you think l am? i am also Catholic; lakini vitu vingine ni vya kiimani zaidi kuliko logic. Maana bado kidogo mtaanza kuita hata walio na vipaji vya Roho Mtakatifu kuwa ni Vichaa; na kwamba kama haiwezi kuwa explained na kueleweka katika viubongo vyetu then si kweli au tunadismiss.

Kuna story moja ya Mt. mmoja hivi ambaye alikuwa anatafakari kuhusu utatu mtakatifu; akawa anakaa ufukweni mwa bahari akijaribu kutafuta logical explaination ya Holy Trinity. siku moja akamuona mtoto mdogo amechimba kishimo chake kwenye shore, halafu anachukua maji kwenye kikopo kutoka baharini anajaza kishimo chake. Ameendelea hivyo kwa muda mwisho yule Mt. akamuuliza (huku akiwa annoyed kidogo) lengo lake hasa ni nini. Yule mtoto akasema kuwa, anataka kuyaamisha maji yote ya bahari yaende kwenye kishimo chake. Yule mt. akamwambia huoni udogo wa hicho kishimo na ukubwa wa hii endless bahari. mtoto naye akamwambia, ukubwa wa shimo hili ni sawa na akili zako, na ukubwa wa bahari ni sawa na fumbo la utatu mtakatifu, hivyo huwezi kulielewa kwa kutumia akili zako hizo na mtoto akapotea. So from that day, yule mt. akalikubali na kuliamini bila kutafuta hizo logical explainations ambazo kanisa la sasa linajaribu kutafuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom