Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
mhhhhhhhhh.........unasali kanisa gani? natuma mtu aliyevaa kanzu ibada ijayowanapaswa kulitumia na kuliamini jina la Yesu
mhhhhhhhhh.........unasali kanisa gani? natuma mtu aliyevaa kanzu ibada ijayowanapaswa kulitumia na kuliamini jina la Yesu
Wenzetu ndo wanauelewa zaidi.
Jinamizi, au nightmare ni ndoto ambazo hututokea watu wote isipokuwa watoto wa umri mdogo sana mpaka miaka 5
Hizi ndoto mbaya zinakuja kwa njia nyingi kubwa zaidi ni kulala vibaya labda umejigeuza na kuwa umelala vibaya, au msongamano wa mawazo stress,anxiety. Pia ndoto mbaya zinakuja pia unapokula tu na kwenda kulala. Nafikiri umenielewa pia tusubiri wataalam zaidi
Lakini kwa nini itokee wakati umelala chali? Inahusiana nn na kuota ndoto hizo mbaya mkuu?hata mimi huwa inanitokea sana lakini kama hiyo siku nikisoma mda mrefu usiku,,badae niliizoea nikajua ni jambo la kisayansi tu kuhusiana na mwili wa binadamu,,niliamini hivi baada ya kumshirikisha rafiki yangu naye akaniambia humtokea akisoma sana...enzi hizo ilikuwa ni advance PCM,,lakini kwa sas sio mara kwa mara la ndoto za kupaa nazo zinajirudia
nikweli mana kila binandamu lazima aote ndoto kama hio hata mimi hiwanga najiulizaga sana hio ndoto
Dah hapa mkubwa cna cha kuchangia huwa hata mm inanitokea na cjapata jibu labda tusikie wadau humu
Sidhani kama ina ukweli/uthibitisho/ushahidi wowote wa kidini au kitaalam; nadhani ni mtazamo wa mtuHabari zenu wakuu..
Kuna vitu ambavyo naviwaza sivipatii majibu mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie..
Ni kwanini mtu unapolala kwa kuangalia juu yaan bati anakuwa anaota ndoto mbaya za kutisha na kama vile kuna kukabwa flani hivi... na hii sio kwangu tuu nimewasikia watu wengi pia wakilalamika.
Je jambo hili linahusiana na mambo ya kichawi kama wengi wanavyozani? Au kuna namna kisayans lazma itokee endapo mtu akilala hivyo labla kuna vitu vinaforce ubongo kuhisi hivyo?
Wataalam naomben msaada wenu.