Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Unataka watu wa kutaka kukopa wawe wanakuja kwa wingi??.Imani, Upendo, Miujiza Bucha.
Unataka watu wa kutaka kukopa wawe wanakuja kwa wingi??.Imani, Upendo, Miujiza Bucha.
Au aliite MDUMANGE BUTCHER!! Hakika watu kutoka Tanga tutamiminika kumuungisha.Mduma butcher
Bado mnapenda midumangeAu aliite MDUMANGE BUTCHER!! Hakika watu kutoka Tanga tutamiminika kumuungisha.
Mkataa kwao ni mtumwa. Mdumange ndiyo fahari yetu Wasambaa.Bado mnapenda midumange
Kuzacha osieMkataa kwao ni mtumwa. Mdumange ndiyo fahari yetu Wasambaa.
Samaki Wabichi Butchery.....sangara,sato, perege,kubua,changu,dagaa wabichi...... kwasasa niko moro mkuu
Samaki Noga Butcherysangara,sato, perege,kubua,changu,dagaa wabichi...... kwasasa niko moro mkuu
Wakuu nipeni jina nzur litakalofaa kutumia kwenye bucha ya kuuza samaki na nyamba ambalo litawavutia wateja