Jina la Israel na maana yake

Jina la Israel na maana yake

Wacha kuwadangan'ya watu eti Shujaa 😄

Israel ni Yakub bin Ishaq bin Ibrahim, amani iwe juu yao, na maana yake ni mja wa Mungu, kwa sababu “Isr” katika lugha yao maana yake ni mja, na “El” ni Mungu.


Ana majina mawili, :Israel ni jina la utani yani si orignal na lilivuma sana kwa sababu alikuwa Mchamungu na hata Mwenyezi alikuwa analirefer hilo jina.

Wanakuja wakristo na ujinga eti mshindi alimshinda nani? Ukiwasikia wakristo watakupoteza eti alipigana na Mungu 😄 Afu akamshinda akamshika mpa asubuhi afu ndio Mungu akampa jina Israel, eti sababu alimshinda 😄 bibilia zenu noma kweli.

Yakoub[Israel] kumuona Mungu hajamuona na wala hata kuja muona, si Yeye si Yesu si Mussa si Ibrahim wala Mtume Muhammad hakuna wakumuona Mungu, Mwenyezi Mungu ni level ingine kabisa yeye anakuona lakini hakuna binadamu atakaye muona maishani kwake.

Nyie kaimbeni nyimbo kanisani afu mkalale ngojeni mkisha kufa ndio mtajua Yesu kama atawaokoeni 😄
Kheh wewe kweli ni Fake Muslim... si Miaka yote mnatuambia Mtume wanu Mudy Alibebwa na Mnyama (Mule) Chotara wa Punda na Farasi hadi Mbinguni akapewa Amri ya Kuswali sala 50 alipokuwa njiani kurudi mbingu sijui ya kwanza Musa akamuambia aache ujinga Waislam hawatoweza kuswali Swala 50 kwa Siku Mudy akarejea tena kwa Allah akamuomba ampunguzie na Allah Akapunguza safari ikawa hivyo hadi zilipofikia swala 5 Musa akamuambia hapo sawa so Mudy akashuka Duniani hadi Jerusalem masijd Al aqsa .. au Nyie Suni mshagundua kuwa Mtume wenu Mudy aliwalisha matango kweli kwa Story ya Kuokota ya Vision of Peter with false vision going to hell.. Muslims Mnamuita Shamoun as-Safa
 
Kheh wewe kweli ni Fake Muslim... si Miaka yote mnatuambia Mtume wanu Mudy Alibebwa na Mnyama (Mule) Chotara wa Punda na Farasi hadi Mbinguni akapewa Amri ya Kuswali sala 50 alipokuwa njiani kurudi mbingu sijui ya kwanza Musa akamuambia aache ujinga Waislam hawatoweza kuswali Swala 50 kwa Siku Mudy akarejea tena kwa Allah akamuomba ampunguzie na Allah Akapunguza safari ikawa hivyo hadi zilipofikia swala 5 Musa akamuambia hapo sawa so Mudy akashuka Duniani hadi Jerusalem masijd Al aqsa .. au Nyie Suni mshagundua kuwa Mtume wenu Mudy aliwalisha matango kweli kwa Story ya Kuokota ya Vision of Peter with false vision going to hell.. Muslims Mnamuita Shamoun as-Safa
ufake? Mimi siwezi kuwa fake hata siku moja we tuambie kwenye hio hadithi wapi Mtume kasema alimuona Mungu? Nyie ndio wale wababaishaji ukweli kuna tofauti kuambiwa na kuona una fahamu dogo?

Kwa hio Mussa aliongea live na Mungu alimuona? Tukiwambia hakuna binadamu atamuona Mungu afu akaishi mnatuletea ujinga eti Yesu ni Mungu 😄

Nyie wenyewe bibilia zenu zinajisuta ziko zinasema hakuna binadamu kamuona Mungu akaishi sa Yesu wangapi walimuona mbona waliishi hapo unapata picture halisi Yesu ni binadamu tu wa kawaida kama hana baba ndio kawa Mungu basi Adam angekuwa Mungu mkubwa kuliko Yesu sababu hana baba wala mama.

Nakuliza Yesu anamuita nani Maryam? na Maryam anaumita nani Yesu 😄
 
Israel ni jina alilopewa yakobo baada ya kumtia ngwala,mabanzi,makwenzi Mungu,aliposhuka usiku wa manane duniani,ndipo Mungu akaamua kumbariki yakobo badala ya Esau chaguo lake la mwanzo,maana bila hivyo yakobo aliigoma kumuachia Mungu na palikua panapambazuka,Mungu akiogopa binaadam wasimuone,haya ni kwa mujibu wa biblia
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duniani kila jina lina maana. Hakuna jina lisilokuwa maana. Hata wewe jina lako lina maana yake, baya au Zuri

Kwa mfano, Adam maana yake ni udongo mwekundu
Hawa maana yake ni mama wa wanadamu wote
Malaika maana yake ni mjumbe wa Mungu.
Isaac maana yake ni kicheko.

Hata wewe jina lako lina maana yake

Kwa mifano michache hiyo, tunaweza pia kuona jina Israel

Jina Israel maana yake ni "mshindi" Yaani yeye ashindaye.
Majina ya watu au vitu ni kivuli cha uhalisia wa mtu au kitu

Sasa wa Israel kama taifa, wamelipa jina hilo taifa Lao. Hilo jina ni kivuli cha uhalisia wa hilo taifa. Jina hilo linatoa taswira ya uwezo wa hilo taifa.

Ukiangalia kwa juujuu aubkiushabiki unaweza usielewe hiki kitu lakini kama unaingia ndani kabisa unaweza kuelewa.

Kwanini taifa dogo kama Israel lina uwezo wa kushawishi mataifa
Makubwa kama India, USA, UK, Germany, Australia, Canada, France na wote wakaitikia. Jamaa wana kitu cha ziada. Jamaa wana uwezo wa ziada. Sio rahisi kama tunavyofikiri

Israel ni washindi. Waarabu wamegunduwa hilo Jambo ndiyo maana siku hizi hawahangaiki
Mshindi gani kazi yake kuua watoto na wanawake. Anapigana na wanamgambo tu na huu ni mwezi wa 4 kashindwa kuokoa mateka katika eneo ambalo limezungushwa Fensi lote, halina chakula, madawa wala mafuta,


Mshindi gani anasaidiwa na mataifa yote lakini bado anaua indiscriminately bila kuheshimu sheria za vita. Hayo mataifa unayosema wameitika kwa ISRAEL ni kwamba wanasaidia ili kuwashinda waarabu na Waislamu, an enemy of your ENEMY is your friend. Bila hayo mataifa ISRAEL ni mboga tu
 
Wacha kuwadangan'ya watu eti Shujaa [emoji1]

Israel ni Yakub bin Ishaq bin Ibrahim, amani iwe juu yao, na maana yake ni mja wa Mungu, kwa sababu “Isr” katika lugha yao maana yake ni mja, na “El” ni Mungu.


Ana majina mawili, :Israel ni jina la utani yani si orignal na lilivuma sana kwa sababu alikuwa Mchamungu na hata Mwenyezi alikuwa analirefer hilo jina.

Wanakuja wakristo na ujinga eti mshindi alimshinda nani? Ukiwasikia wakristo watakupoteza eti alipigana na Mungu [emoji1] Afu akamshinda akamshika mpa asubuhi afu ndio Mungu akampa jina Israel, eti sababu alimshinda [emoji1] bibilia zenu noma kweli.

Yakoub[Israel] kumuona Mungu hajamuona na wala hata kuja muona, si Yeye si Yesu si Mussa si Ibrahim wala Mtume Muhammad hakuna wakumuona Mungu, Mwenyezi Mungu ni level ingine kabisa yeye anakuona lakini hakuna binadamu atakaye muona maishani kwake.

Nyie kaimbeni nyimbo kanisani afu mkalale ngojeni mkisha kufa ndio mtajua Yesu kama atawaokoeni [emoji1]
Chukua gahawa na tende nitakuja kulipa
 
ufake? Mimi siwezi kuwa fake hata siku moja we tuambie kwenye hio hadithi wapi Mtume kasema alimuona Mungu? Nyie ndio wale wababaishaji ukweli kuna tofauti kuambiwa na kuona una fahamu dogo?

Kwa hio Mussa aliongea live na Mungu alimuona? Tukiwambia hakuna binadamu atamuona Mungu afu akaishi mnatuletea ujinga eti Yesu ni Mungu 😄

Nyie wenyewe bibilia zenu zinajisuta ziko zinasema hakuna binadamu kamuona Mungu akaishi sa Yesu wangapi walimuona mbona waliishi hapo unapata picture halisi Yesu ni binadamu tu wa kawaida kama hana baba ndio kawa Mungu basi Adam angekuwa Mungu mkubwa kuliko Yesu sababu hana baba wala mama.

Nakuliza Yesu anamuita nani Maryam? na Maryam anaumita nani Yesu 😄
(Shin)Ugoko wa mguu wa Allah sio wake ule Allah Mtume kamuelezea alivyo kuwa ni Mfupi kama Andunje, ana nywele kamba kamba zilizojisokota ana macho zaidi ya moja na hana chango kama Dajjal.. Mtume wenu ana khofu siku akija Dajjal mtachanganyikiwa mkijua ni Allah so ameshawawekea tofauti zake kati ya Dajjal na Allah..

Kwa Mujubu wa Mudy alivyomuelezea physical appearance ya Allah hata wewe unaweza kumchora..
 
(Shin)Ugoko wa mguu wa Allah sio wake ule Allah Mtume kamuelezea alivyo kuwa ni Mfupi kama Andunje, ana nywele kamba kamba zilizojisokota ana macho zaidi ya moja na hana chango kama Dajjal.. Mtume wenu ana khofu siku akija Dajjal mtachanganyikiwa mkijua ni Allah so ameshawawekea tofauti zake kati ya Dajjal na Allah..

Kwa Mujubu wa Mudy alivyomuelezea physical appearance ya Allah hata wewe unaweza kumchora..
Qur'an imeisha toa jibu kuthibitisha uwongo wako, wacha kumzulia Mtume wetu Muhammad maneno hajawahi kuongea, sijui mnatowa wapi maneno ya uzushi.

قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ ( 1 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 1
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
اللَّهُ الصَّمَدُ ( 2 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 2
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ ( 3 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 3
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
وَلَمْ يَكُن لَّهُ كُفُوًا أَحَدٌ ( 4 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 4
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
 
ufake? Mimi siwezi kuwa fake hata siku moja we tuambie kwenye hio hadithi wapi Mtume kasema alimuona Mungu? Nyie ndio wale wababaishaji ukweli kuna tofauti kuambiwa na kuona una fahamu dogo?

Kwa hio Mussa aliongea live na Mungu alimuona? Tukiwambia hakuna binadamu atamuona Mungu afu akaishi mnatuletea ujinga eti Yesu ni Mungu 😄

Nyie wenyewe bibilia zenu zinajisuta ziko zinasema hakuna binadamu kamuona Mungu akaishi sa Yesu wangapi walimuona mbona waliishi hapo unapata picture halisi Yesu ni binadamu tu wa kawaida kama hana baba ndio kawa Mungu basi Adam angekuwa Mungu mkubwa kuliko Yesu sababu hana baba wala mama.

Nakuliza Yesu anamuita nani Maryam? na Maryam anaumita nani Yesu 😄
Ni vizuri kama unakubali hakuna aliyemuona Mungu kwa Imani ya Uislam na hili linathibitisha kuwa Mohamed alikuwa muongo na amejitungia uzushi aonekane yeye wa kuabudiwa kama Waislam wa Sunni wanavyomfuata na kuacha aliyowapa Allah ikiwepo Ndoa za Muta...Swala Tano za Muhamed na Allah kasema Tatu tu only tena Muda mmoja wa Jioni two end of the day and Approach the Night.
Muhamed kawambia Mswali Mara Tano uzushi wake unaoukataa ndio alutoa Mbinguni kwa Allah anavyodai alipaishwa kimwili na kiroho akaenda kutua Jerusalem after na Swala zake Tano japo Aisha mkewe alisema Mwili wa Mudy haukuwahi ondoka chumbani mwao so uongo wa Mudy alilazimisha na hadi leo Mnaswali Mara Tano kuficha aibu ya Mudy hii ni Shirki hivyo mmepotea.

Kuhusu Yesu yeye ndie alisema kwa Waliomuona kuwa wanavyomuona yeye basi wamemuona Baba yake na waliishi hadi muda wao ulivyyoisha.. so Hoja wa Kudedi ilibadilika enzi zile because yeye Mwenyewe alitabiriwa na Isaya kuwa atazaliwa Emmanuel yaani Mungu pamoja nasi.

Hakuna Mkristo yeyote aliyedai kuwa Usipokuwa na Baba au Mama unakuwa Mungu hayo ni Maswali ya Wajinga wa Kiislam wanaoongozwa na Allah kwa Kuuliza silly questions... Even kwenye Koran yapo maswali hayo ya kijinga na Majibu anayojibu Allah yanathibitisha Yesu ni Mungu.. Allah anasema Jesus ni 1. Messenger 2.Ni Neno 3. Spirit yaani Utatu sifa ambazo Allah hana Uwezo nazo sababu Muumbaji ni NENO ambaye ni Yesu, Spirit ni Holly ambaye ni Yesu pia wakati Allah hana Spirit according to Muslim Schola Allah ni Sanamu.. lisilo na roho lina Mikono miwili yote ya kulia na mguu mmoja.

Kuhusu Yesu akikutana na Mariam anamuita nani ? Swali la Mjinga mmoja huko songea nilimsikia majuzi kuwa aliacha ukristo kwa kuulizwa hilo swali akakosa jibu.. Maswali ya kijinga only from Muslim.. kama Mungu ni Muweza why ashindwe kuingia kwenye Tumbo la Mwanamke and akazaliwa? so Katika hali ile ambayo ishapita Yesu alimuita Mariam kuwa ni Mama Yake na katika hali ya Sasa Mariam anamuita Yesu YHWH.. Una swali lingine hebu techekeshe katika uislam Yesu alizaliwaje? Roho ya Yesu aliileta Allah au Jibril? jibu tucheke wote
 
Kama unamaanisha mwanzo wa kitabu kitakatifu neno la Mungu yaani biblia hakuna hayo maneno.
Biblia siyo kitabu kitakatifu Wala siyo neno la Mungu,ni maneno ya watu wakielezea matukio mbalimbali,ndiyo maana Paulo kajipakulia Sana minyama humo,maneno ya Paulo kwamba alitoka bethlehemu kwenda Gaza siyo maneno ya Mungu ni ya Paulo mwenyewe
 
Swali lipi nimelikimbia? Nilio yandika yako kwenye elimu za dini zote mbili ya Kislam, na Kiyahudi, pia ukristo we tatizo umerukia uwongo wa Paulo hata bibilia zenu zinakubaliaana na mimi pia unafahamu sa zinginee bibilia inasahau uwongo inaleta ukweli.

one who prevails with God
Because Jacob was faithful, the Lord gave him the special name of Israel, which means “one who prevails with God” or “let God prevail” (Bible Dictionary, “Israel,” 708).

Jina lake haswa ni Yakobo na Israel ni Special name, unaweza ukawa na jina na jina la utani au jina unaitwa kwa sababu flani umeona au bado dogo?
Kwenye biblia takatifu kitabu cha Mungu hakuna haya maneno meengi uliyoandika ila labda kwenye quran kitabu cha shetani kilichokuja miaka mingi sana baada ya biblia takatifu kuwapo. shetan baada ya kuona Mungu kaleta muongozo ambao ni mwanga wa kumkomboa mwanadamu ndipo akaleta quran kitabu cha giza totoro kwa kumtumia mohamed ambaye ni uzao wa Ishmael mtoto wa mfanyakazi wa ndani wa Ibrahimu.
 
Biblia siyo kitabu kitakatifu Wala siyo neno la Mungu,ni maneno ya watu wakielezea matukio mbalimbali,ndiyo maana Paulo kajipakulia Sana minyama humo,maneno ya Paulo kwamba alitoka bethlehemu kwenda Gaza siyo maneno ya Mungu ni ya Paulo mwenyewe
Kwa kwa umepofushwa nafsi yako na shetani huwezi elewa biblia tumia tu akili yako hata kidogo we hushtuki tu biblia ipo miaka na miaka halafu anakuja mtu anatunga hadithi zake na ili aaminike anachukua na mistari ya biblia halafu anawadanganya kuwa hicho ndo kitabu cha mungu quran kitabu cha juzi tu hata miaka 1000 hakijafikisha.Halafu maneno yako mengi kuhusu mistari ya biblia ni uwongo mtupu.
 
Qur'an imeisha toa jibu kuthibitisha uwongo wako, wacha kumzulia Mtume wetu Muhammad maneno hajawahi kuongea, sijui mnatowa wapi maneno ya uzushi.

قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ ( 1 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 1
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
اللَّهُ الصَّمَدُ ( 2 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 2
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ ( 3 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 3
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
وَلَمْ يَكُن لَّهُ كُفُوًا أَحَدٌ ( 4 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 4
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Kwa hiyo Muslims wakiongea na kuandika vitabu vyao other than Quran ni Uongo? maana hata hiyo Quran ni Hadithi kutoka kwa furani baada ya furan yaani haina mwenyewe Msomi Hafs anasadikiwa alikuwa ni Muongo na ndie mmechukua Quran yake ndio maana Aya aliyoshushiwa Mudy ya kwanza imewekwa sijui ya saba na surah zimechanganywa mno uuombaji wa uongo Allah aya moja inasema alianza kuumba Mbingu na aya nyingine anasema alianza kuumba ardhi n.k kiufupi ni aya za kutungwa na za kukopi aya za dini zingine na kuzibadilisha zionekane tofauti na ndipo vixchekesho vimekuwa ndani ya Quran ya Allah..

Tuje kwenye Aya zako kutoka kwenye kitabu cha kichekesho Quran.
قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَدٌ ( 1 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 1
Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.

Katika Tafrisi ya English - Say, ˹O Prophet,˺ “He is Allah—One ˹and Indivisible˺;
Hapo ni Mmoja na Asiye onekana Kichekesho ni kuwa almost Quran yote anatumia wingi wake SISI (We)
Aya ya 68:42 inasema Allah ana Mguu aonekani kivipi? Allah ni Physical being.
يَوْمَ يُكْشَفُ عَن سَاقٍۢ وَيُدْعَوْنَ إِلَى ٱلسُّجُودِ فَلَا يَسْتَطِيعُ
Siku itakapo funuliwa mguu wa Allah na wakaitwa kusujudu, lakini hawawezi. ونَ ٤٢
Even Mikono anayo na Adam alipokuwa anaumbwa alimuambia Allah nimalizie kuniumba kabla ya Jua kuzama... hahahaha Allah alikuwa very Slowly hadi Adam aseme. na aliopuliziwa roho akapiga chaya and akasema Alhamdulillah -- kwa kiarabu hahaha Adam aliongea Arabic

اللَّهُ الصَّمَدُ ( 2 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 2
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.

Tafuta Tafsiri sahihi ili utamke kwa Kiswahili ueleweke na ukubalike na sio kudanganya watu.. Tafrisi from English Allah—the Sustainer ˹needed by all
Yaani Mtegemewa wa wote na katika Sahihi wanasema ni Mungu mmoja na haitaji utegemezi wowote ni uongo uliopitiliza kwani Allah tu kusema Sisi tumemuumba Binadamu tayari hapo hakuwa pekee tena anaonesha tu kuwa amedandia kazi ya ya kuumba ambaye aliumba ni NENO ambayue ni Jesus.
Kam Sio tegemezi basi kiti chake cha enzi angekuwa anakibeba mwenyewe na sio Malaika nane huku yeye akiwa juu yake Chapter 40:7

لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ ( 3 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 3
Hakuzaa wala hakuzaliwa. Even Adam ,Hakuzaliwa and pia Mama Theresa wa India hakuzaa pia, n.k haya ndio maswali ya kiislam islam na majibu ya kiislam nakupa.. mjione kuwa Muslim mna maswali ya kijinga badilikeni

وَلَمْ يَكُن لَّهُ كُفُوًا أَحَدٌ ( 4 ) Al-Ikhlas ( Sincerity ) - Aya 4
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. Hii ya Kufanana ni kwa Muslims only but sisi non-Muslim tunaamini tunafanana nae kwani alisema hivyo tumeumbwa kwa Mfano wake.

Mwisho Koran na Muslim ni fabrication so Mambo mengine yanaishia hewani tu
 
Kwa kwa umepofushwa nafsi yako na shetani huwezi elewa biblia tumia tu akili yako hata kidogo we hushtuki tu biblia ipo miaka na miaka halafu anakuja mtu anatunga hadithi zake na ili aaminike anachukua na mistari ya biblia halafu anawadanganya kuwa hicho ndo kitabu cha mungu quran kitabu cha juzi tu hata miaka 1000 hakijafikisha.Halafu maneno yako mengi kuhusu mistari ya biblia ni uwongo mtupu.
Kalenda ya kiislam Iko 1400+,inaanzia pale ambapo waislam walifukuzwa maka na kukimbilia Madina,ndiyo maana inaitwa hijria,Sasa Qur'an kuwa na miaka chini ya 1000 umetoa wapi!?..halafu Quran haikuchukua mistari kwenye biblia,biblia inasema yesu Mungu,yesu mwana wa Mungu,Mungu ni utatu,Mungu alipigana na yakobo akazidiwa Hadi kushindwa kupaa kurudi mbinguni, QUR'AN inasema Mungu hafanani na chochote,hakuzaa hakuzaliwa,biblia ni maelezo ya watu wakati QUR'AN ni maelezo ya Mungu,mtume akiambiwa sema uwaambie...pia,biblia ilikuwepo kabla yesu hajazaliwa,agano la kale ni vitabu vya kiyahudi vilivyochakachuliwa, bible imewekwa kwenye mfumo huu miaka 300ce,walichagua vitabu vya kuweka wakaacha vingine kwa sababu zao wanazojua wao,so Qur'an na biblia havifanani chochote
 
Duniani kila jina lina maana. Hakuna jina lisilokuwa maana. Hata wewe jina lako lina maana yake, baya au Zuri

Kwa mfano, Adam maana yake ni udongo mwekundu
Hawa maana yake ni mama wa wanadamu wote
Malaika maana yake ni mjumbe wa Mungu.
Isaac maana yake ni kicheko.

Hata wewe jina lako lina maana yake

Kwa mifano michache hiyo, tunaweza pia kuona jina Israel

Jina Israel maana yake ni "mshindi" Yaani yeye ashindaye.
Majina ya watu au vitu ni kivuli cha uhalisia wa mtu au kitu

Sasa wa Israel kama taifa, wamelipa jina hilo taifa Lao. Hilo jina ni kivuli cha uhalisia wa hilo taifa. Jina hilo linatoa taswira ya uwezo wa hilo taifa.

Ukiangalia kwa juujuu aubkiushabiki unaweza usielewe hiki kitu lakini kama unaingia ndani kabisa unaweza kuelewa.

Kwanini taifa dogo kama Israel lina uwezo wa kushawishi mataifa
Makubwa kama India, USA, UK, Germany, Australia, Canada, France na wote wakaitikia. Jamaa wana kitu cha ziada. Jamaa wana uwezo wa ziada. Sio rahisi kama tunavyofikiri

Israel ni washindi. Waarabu wamegunduwa hilo Jambo ndiyo maana siku hizi hawahangaiki

Israel = kiboko ya magaidi hapo mashariki ya kati
 
Ni vizuri kama unakubali hakuna aliyemuona Mungu kwa Imani ya Uislam na hili linathibitisha kuwa Mohamed alikuwa muongo na amejitungia uzushi aonekane yeye wa kuabudiwa kama Waislam wa Sunni wanavyomfuata na kuacha aliyowapa Allah ikiwepo Ndoa za Muta...Swala Tano za Muhamed na Allah kasema Tatu tu only tena Muda mmoja wa Jioni two end of the day and Approach the Night.
Muhamed kawambia Mswali Mara Tano uzushi wake unaoukataa ndio alutoa Mbinguni kwa Allah anavyodai alipaishwa kimwili na kiroho akaenda kutua Jerusalem after na Swala zake Tano japo Aisha mkewe alisema Mwili wa Mudy haukuwahi ondoka chumbani mwao so uongo wa Mudy alilazimisha na hadi leo Mnaswali Mara Tano kuficha aibu ya Mudy hii ni Shirki hivyo mmepotea.

Kuhusu Yesu yeye ndie alisema kwa Waliomuona kuwa wanavyomuona yeye basi wamemuona Baba yake na waliishi hadi muda wao ulivyyoisha.. so Hoja wa Kudedi ilibadilika enzi zile because yeye Mwenyewe alitabiriwa na Isaya kuwa atazaliwa Emmanuel yaani Mungu pamoja nasi.

Hakuna Mkristo yeyote aliyedai kuwa Usipokuwa na Baba au Mama unakuwa Mungu hayo ni Maswali ya Wajinga wa Kiislam wanaoongozwa na Allah kwa Kuuliza silly questions... Even kwenye Koran yapo maswali hayo ya kijinga na Majibu anayojibu Allah yanathibitisha Yesu ni Mungu.. Allah anasema Jesus ni 1. Messenger 2.Ni Neno 3. Spirit yaani Utatu sifa ambazo Allah hana Uwezo nazo sababu Muumbaji ni NENO ambaye ni Yesu, Spirit ni Holly ambaye ni Yesu pia wakati Allah hana Spirit according to Muslim Schola Allah ni Sanamu.. lisilo na roho lina Mikono miwili yote ya kulia na mguu mmoja.

Kuhusu Yesu akikutana na Mariam anamuita nani ? Swali la Mjinga mmoja huko songea nilimsikia majuzi kuwa aliacha ukristo kwa kuulizwa hilo swali akakosa jibu.. Maswali ya kijinga only from Muslim.. kama Mungu ni Muweza why ashindwe kuingia kwenye Tumbo la Mwanamke and akazaliwa? so Katika hali ile ambayo ishapita Yesu alimuita Mariam kuwa ni Mama Yake na katika hali ya Sasa Mariam anamuita Yesu YHWH.. Una swali lingine hebu techekeshe katika uislam Yesu alizaliwaje? Roho ya Yesu aliileta Allah au Jibril? jibu tucheke wote
😄 Wewe unachekesha sana una sema Mungu ni muweza wa kila kitu sa ajabu iko wapi Mtume Muhammad kapelekwa mbinguni? Huoni kama unashaka na hilo jambo? Kwa hio Mungu hawezi kumpaisha Mtume mbinguni bila kuonana naye?jibu hapo au lazima amuone

Tukirudi kwa Yesu hakuna sehemu Yesu anawambia hakuna binadamu kawahi muona Mungu? Kwa hio Yesu anajisuta kabisa yeye si Mungu.

Tukirudi kwenye point ingine Mungu anasema Yeye ni Mfalme wa Falme yani ajishushe cheo ili aonekane mtoto kweli nyie vichaa.

Mungu ajivue utukufu wake aingie tumboni kwa Mariam ili ajizae? Kwa nini asishuke toka mbinguni direct watu wamuone kama alitaka kuja kuishi na binadamu kuliko kupitia kwenye tumbo la Maryam, au hana uwezo huo mpa apitie tumboni kwa Maryam.

Mimi sijawahi msikia Maryam kamuita Yesu hata siku moja Mungu hebu tupe dalili zako.

Maryam alikuwa anamuita Yesu mtoto.

Mungu anamuita Yesu mtoto wa Maryam.

Kaimbe tarabu kanisani wacha ujinga usio na hoja.
 
Back
Top Bottom