We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Ktk kipindi cha Jahazi cha Radio Clouds jioni hii, kuna hili limeripotiwa na producer Semalenga wakati wa kampeni za CCM, kuwa JK amesema vitu viwili vifuatavyo akiwa anamnadi mgombe wa jimbo hilo Bwana Lusinde.
1. JK anasema kuna wagombea wengine wameanza kazi ya hata kabla hawajaapishwa, wakiapishwa Je? "(Sijui inamtisha hii au anaifurahia)"
2. Mtera watapata mikonga ya simu kabla ya mwezi huu kwisha, ataongea na Makampuni ya simu na anauhakika wataifikisha mikonga hiyo kabla ya uchaguzi. (Hivi kumbe haya mambo yanawezekana kufanyika kwa muda mfupi kiasi hiki? Yangefanyika kwa miaka mitatu iliyopita nadhani TZ yote leo ingekuwa na mawasiliano) Haya wee
1. JK anasema kuna wagombea wengine wameanza kazi ya hata kabla hawajaapishwa, wakiapishwa Je? "(Sijui inamtisha hii au anaifurahia)"
2. Mtera watapata mikonga ya simu kabla ya mwezi huu kwisha, ataongea na Makampuni ya simu na anauhakika wataifikisha mikonga hiyo kabla ya uchaguzi. (Hivi kumbe haya mambo yanawezekana kufanyika kwa muda mfupi kiasi hiki? Yangefanyika kwa miaka mitatu iliyopita nadhani TZ yote leo ingekuwa na mawasiliano) Haya wee