mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Kipindi cha jahazi kipo hewani sasa hivi leo 04/04/2012, wamesema baadae Mh. L. Lusinde ataongea juu ya kutukana mitusi akiwa Arumeru.​
sijui atasema nini leo kujitetea maana ni aibu
mlio nje ya nchi mnaweza sikiliza online now.
Amebatizwa jina sasa ni Kudadeki
.....
anaongea bado sasa hivi ni mbishi nahamu nimpige vibao
Raisi muachishe ubunge huyu mbishi
.....
eti ni kawaida yake kutumia lugha hii katika uchaguzi wa sehemu aendako ila wakati huu wamemchokoza,
kwa hiyo anachosema ni kuwa amezoea kuongea hivyo tangu zamani.
libaba hili bishi sana, anatia aibu
.......
what Yesu aliuawa, na Mtume..... jamaa huyu mbishi sana tena sana
.......
Eti Lema alisema maneno yalisikika jimboni, wnamuuliza mbona hatujayasikia? anasema yalikuwa jimboni
.....
JK unasibiri nini
sijui atasema nini leo kujitetea maana ni aibu
mlio nje ya nchi mnaweza sikiliza online now.
Amebatizwa jina sasa ni Kudadeki
.....
anaongea bado sasa hivi ni mbishi nahamu nimpige vibao
Raisi muachishe ubunge huyu mbishi
.....
eti ni kawaida yake kutumia lugha hii katika uchaguzi wa sehemu aendako ila wakati huu wamemchokoza,
kwa hiyo anachosema ni kuwa amezoea kuongea hivyo tangu zamani.
libaba hili bishi sana, anatia aibu
.......
what Yesu aliuawa, na Mtume..... jamaa huyu mbishi sana tena sana
.......
Eti Lema alisema maneno yalisikika jimboni, wnamuuliza mbona hatujayasikia? anasema yalikuwa jimboni
.....
JK unasibiri nini