Kila mtu mnaona mzigo,hivi wewe DOMA una mzigo? kama hauna utakuwa unapakuliwa..
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
ccm ni chama cha kifamilia, wengine mtakuwa wasindikizaji tu na kuwawezesha vigogo na watoto wao kuendelea kurithishana uongozi, na ndio maana taifa linazidi kuyumba sababu hawajui shida za wananchi, wao wamezoea kula na wataendelea kula, kumbuka marehemu Mgimwa, ndiye aliyeingiza kodi ya laini ya simu kinyemela bila kujali ugumu wa maisha wa watanzania wakiwemo wanakalenga, je! Huyo mwanae aliyezoea kula bata atawakumbuka wanakalenga, igeni mfano mzuri kwa wenzenu Arumeru mashariki, nako ccm walipeleka utawala wa kifamilia, kwa kumsimamisha mtoto wa marehemu waziri Sumari, wana wa Arumeru walikataa utawala wa kifamilia, wakamchagua kijana masikini mwenzao, mwenye uwezo wa kuongoza Nathali Joshua, ambaye anasimamia vilivyo maendeleo ya wananchi. Huyo jamaa naye hana hata aibu, baba yake kafariki juzi tu hapa, leo anataka kurithi ubunge lo! Wana kalenga tushirikiane kuondoa utawala wa kifamilia ulioasisiswa na mccm.
Umakini wa chadema unahitajika kumpitisha mgombea ili iwe kama kumsukuma mlevi