TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Hakuna sababu ya kujikuna kama hauwashwi, machi 16 ni jibu la hoja mfu kama hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli nyani haoni dudele. CHADEMA mnasahau kuwa mgombea wa CHADEMA siyo chaguo la Kamati kuu ya CHADEMA?
Kwanza kako kama si riski vile
Wanadhani Ubunge ni wa kurithishana kama mashamba - Recall Arumeru!!
mimi sina chama isipokuwa ni mpenda demokrasia. ninachosema mimi ni kwamba ccm hawakuwa na mtu mwingine wa kugombea jimbo la kalenga badala ya kumwita mtoto wa marehemu kutoka uingereza na kumpa nafasi ya kugombea?, na nikatoa mfano wa arumeru kuwa kule nako walimwita mtoto wa marekweli nyani haoni dudele. CHADEMA mnasahau kuwa mgombea wa CHADEMA siyo chaguo la Kamati kuu ya CHADEMA?