Elections 2010 Jimbo la Ubungo: CCM kutoana macho mwaka huu

cha msingi bwana mnyika anatakiwa ajiandae kupambana na wizi wa kura tu, kwani wote tunajua uchaguzwi ulivyokua wa mizengwe hadi matokeo yakachelewa kutangazwa, mwishowe akatangazwa uyo keenja, nakumbuka that time nilikua pale udsm nakumbhuka percent kubwa pale chuo tulimpigia bwana mnyika ila matokeo yakatangazwa tofauti imagine jimbo la dar lilichelewa kutoa majibu kwa zaidi ya wiki baada ya mengine yote ya dar kutangazwa hadi ya mikoani yalikua yanakaribia kuisha ndio ubungo yakatangazwa so hila ndio za kupambana nazo mnyika! si kura!
 
Ubungo CCM wanakazi sana


  1. SHAMSA, M
  2. ALFRED NCHIMBI
  3. NAPE N
  4. Susan Lyimo Mzee wa CCM-UK naye nasikia atajitosa
 
cha msingi bwana mnyika anatakiwa ajiandae kupambana na wizi wa kura tu, kwani wote tunajua uchaguzwi ulivyokua wa mizengwe hadi matokeo yakachelewa kutangazwa, mwishowe akatangazwa uyo keenja, nakumbuka that time nilikua pale udsm nakumbhuka percent kubwa pale chuo tulimpigia bwana mnyika ila matokeo yakatangazwa tofauti imagine jimbo la dar lilichelewa kutoa majibu kwa zaidi ya wiki baada ya mengine yote ya dar kutangazwa hadi ya mikoani yalikua yanakaribia kuisha ndio ubungo yakatangazwa so hila ndio za kupambana nazo mnyika! si kura!

Nimeona vyema nikusaidie kufahamu tu nini kilichotokea Ubungo mwaka 2005. Maana ukikuwa na ufahamu huu, utakuwa kwa uongo ambao hauna manufaa yoyote.

Ndugu yangu, matokeo ya Jimbo la Ubungo yalichelewa kutangazwa kwakuwa Mnyika na Mama Kessy waliweka pingamizi yasitangazwe, kwa kuwa walitaka kuthibitisha mara kadhaa kuwa idadi ya kura ni sahihi. Hata baada ya kuthibitisha hivyo, waliendelea kung'ang'ania kuwa kura hazikuwa sahihi. Ilibadi ilazimishwe kutangazwa baadae kwakuwa sababu zilizosababishwa yasitangazwe mapema zaidi zilikuwa hazipo tena, hata baada ya wapinzani hao kuendelea kusisitiza zisitangazwe. Nadhani nia ilikuwa kuthibitishia umma na watu kama wewe kuwa kulikuwa na wizi uliokuwa ukifanyika na ili kuwezesha kurudia uchaguzi wakihisi kuwa wangeweza kushinda endapo uchaguzi ungerudiwa. Bahati mbaya kwao hiyo haikutokea.

Mimi naamini kuwa Mnyika atakuwa Mbunge siku moja endapo ataendelea bila kuchoka kutafuta nafasi hiyo, na kama atapata support ya watu wengi zaidi na hasa mbinu ya kutafuta kura kutoka kwa wapiga kura na sio washabiki au warusha vibendera wasio na sifa za kupiga kura. Naamini kwa Mnyika kushinda Ubungo anahitaji juhudi kubwa sana kuliko zinavyoongelewa hapa. La sivyo, mwaka huu wengi watasema tena kuwa kadhulumiwa ushindi.

Msaidieni kwa nguvu zote kama mnataka ashinde.
 
Nimeona vyema nikusaidie kufahamu tu nini kilichotokea Ubungo mwaka 2005. Maana ukikuwa na ufahamu huu, utakuwa kwa uongo ambao hauna manufaa yoyote.

Ndugu yangu, matokeo ya Jimbo la Ubungo yalichelewa kutangazwa kwakuwa Mnyika na Mama Kessy waliweka pingamizi yasitangazwe, kwa kuwa walitaka kuthibitisha mara kadhaa kuwa idadi ya kura ni sahihi. Hata baada ya kuthibitisha hivyo, waliendelea kung'ang'ania kuwa kura hazikuwa sahihi. Ilibadi ilazimishwe kutangazwa baadae kwakuwa sababu zilizosababishwa yasitangazwe mapema zaidi zilikuwa hazipo tena, hata baada ya wapinzani hao kuendelea kusisitiza zisitangazwe. Nadhani nia ilikuwa kuthibitishia umma na watu kama wewe kuwa kulikuwa na wizi uliokuwa ukifanyika na ili kuwezesha kurudia uchaguzi wakihisi kuwa wangeweza kushinda endapo uchaguzi ungerudiwa. Bahati mbaya kwao hiyo haikutokea.

Mimi naamini kuwa Mnyika atakuwa Mbunge siku moja endapo ataendelea bila kuchoka kutafuta nafasi hiyo, na kama atapata support ya watu wengi zaidi na hasa mbinu ya kutafuta kura kutoka kwa wapiga kura na sio washabiki au warusha vibendera wasio na sifa za kupiga kura. Naamini kwa Mnyika kushinda Ubungo anahitaji juhudi kubwa sana kuliko zinavyoongelewa hapa. La sivyo, mwaka huu wengi watasema tena kuwa kadhulumiwa ushindi.

Msaidieni kwa nguvu zote kama mnataka ashinde.
Recta,
Na wewe pia msaada wako unahitajika kumwezesha kijana Mnyika kushinda Ubungo. Changia kwa hali na mali.
 
ONDOKENI BWANA MNATUZIDISHIA FOLENI NA MIGARI YENU YA KIFAHARI, NENDENI MAJIMBONI KWENU KUWATUMIKIA WALIOWACHAGUA.:becky:
Nimeipenda hii mistari hapa Mkuu Tonge. Waende hata Kenya, wanawachosha wananchi wa Ubungo tu
 
urahic na ugumu wa kampeni utategemea watanzania wa hapo watashiriki vp kwenye kuckiliza sera na kuzipima manake ukisema watapambana hk wananchi wakisubiri mgombea atayewapitishia sukari kanga na kofia ni ngumu kupima mpambano, lzm wananchi wakubali kubadilika ndo kutakuwa na la kupima kuamua ku
 
John Mnyika jimbo ni lako!!! Tuombe Mungu ateuliwe Shamsa Magunga ili akusafishie njia.

ina maana huko CHADEMA hakuna ushindani katika mchakato wa kuteua wagombea? maana kila mtu Mnyika....au ndiyo yale yale ya CCM na CUF...ama kweli siasa ni .........mchafu!!!! na wanasiasa na mashabiki wao ni kama manyani......!!!!!!!!
 
cha msingi bwana mnyika anatakiwa ajiandae kupambana na wizi wa kura tu, kwani wote tunajua uchaguzwi ulivyokua wa mizengwe hadi matokeo yakachelewa kutangazwa, mwishowe akatangazwa uyo keenja, nakumbuka that time nilikua pale udsm nakumbhuka percent kubwa pale chuo tulimpigia bwana mnyika ila matokeo yakatangazwa tofauti imagine jimbo la dar lilichelewa kutoa majibu kwa zaidi ya wiki baada ya mengine yote ya dar kutangazwa hadi ya mikoani yalikua yanakaribia kuisha ndio ubungo yakatangazwa so hila ndio za kupambana nazo mnyika! si kura!

hapo umenena mkuu...

CCM wana kila kitu...wanaweza wakashindwa na bado wakajitangazia ushindi...hiki ndicho hutokea mara kadha kama si zote kwa upande wa visiwani..hawako tayari kutoa nchi kwa vipande vya karatasi....
 
Back
Top Bottom