Mcben100
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 379
- 556
Jimbo la mheshimiwa mwenyew lina hali ngumu balaa amekua mbunge miaka ming na ni kwao hajafanya kitu had alipokua wazir ndo kajenga barabara kaweka na taa za kuongoza mikokoten ya kuvutwa na punda kawa presi ndo sasa kaamua kujenda airport ya kimataifa. So km alikua mbunge wa ccm na hakufanya chochote vip ukiwa mbunge wa upinzan na serikali hii yenye visasi vya c ndo utasahau ata kitanda cha nyumban kila siku sero km lijualikali kua mpinzan bongo inabid uwe na roho ya chuma joto likizid unabadilika tu rang sio shape.