Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Jimbo la Tarime ambalo CCM ilishinda kwenye uchaguzi wa 2010 kuna kila dalili kuwa CHADEMA italirudisha jimbo hilo kwenye uchaguzi ujao wa 2015 kwani wakazi wengi wamemchoka mbunge wao wa sasa ndugu Nyambari Nyangwine(CCM),wanasema kuwa hawajali na hajatekeleza hata ahadi moja aliyoitoa kwenye uchaguzi,wakazi wa vijiji vya Nkende,Songambele,Nyamwaga,Nyamongo,Kemakolele na Sirari wamesema mbunge wao hayupo ofisini kwake muda mwingi yupo Dar.Mwanzoni mwa mwaka huu hakutokea kwenye mkutano wa hadhara aliouitisha huko kijiji cha Kibumaye. Source gazeti la Mzawa.