MZEE WA USSOKE
Senior Member
- Dec 21, 2012
- 120
- 42
Utadhani umetoka ussoke wewe!!!! Yaani we acha tu
Vijana turudi tukalikomboe jimbo letu,wanyamwezi wanayo historia nzuri ya kumkaa Sita 1995,tuunganishe nguvu ya pamoja lazima ushindi upatikane,
Mzee wa ussoke[mwizukulu Mapolu],2012 naelekea kulikomboa jimbo.
MUNGU NINAYE MTUMIKIA AKIWA UPANDE WANGU NANI ATAKUWA KINYUME NA MIMI
Mama Sita tunakuheshimu,tumia busara ustaafu kwa heshima,kuliko kupata aibu ya kushindwa na vijana wenye umri kama wa wanao,[huu ni ushauri wa bure]