MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
CUF na CHADEMA wakae wazungumze wamwachie jimbo yule mpinzani wa NAPE aliyetokea CCM na Kuhamia CHADEMA bhasi.Kakuna kiingine zaidi ya hilo kama UKAWA mnataka kushinda! Mabadiliko kwanza mengine baadae. Huyu jamaa ndiye chaguo pekee la wanamtama hakuna mwingine zaidi hapo.
Asubuhi njema.
Asubuhi njema.