haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 485
- 138
Sio kosa lako inaonesha wewe ni muumini mzuri wa kuaminishwa!!!hapana ayo mawazo yako kwani kafanya mengi sana mazuri katika mazingira na jamii yetu kwa ujumla aswa jimbo hili la monduli kama ni fisadi n imana tumefisadi wote tatizo la ccm n mfumo tu hata uwe msafi utachafuliwa na wachafu wengi ndo wakati wangu hatua nimepiga na nitapiga mungu amenipa akila na uwezo wa kufikili na amini nilipo na ninaye mChagua ni sahihi kwangu hapa ndo sahii mabadiliko jambo la msingi sana kileta maendeleo..
Walianza kwa kumuita FISADI lakini leo wako naye wanashindwa kuzungumza neno UFISADI wanasema mfumo ili kuficha mtaji wa neo lao ambao naamini hata kushuka toka angani toka waanze kulizungumza katika majukwaa yao halijashuka!!!
Endelea kuaminishwa na ikifika miaka mitano utaambiwa haikuwa mfumo bali...............na wewe utawaelewa tu kwa vile ni muumini mzuri wa kuaminishwa na kwa ushauri wangu fikiria na sikiliza mwenye nia ya dhati!!!
Mimi nasema NO SITAKI MABADILIKO YA UONGO!!!