Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Nimemsikiliza huyu mzee ameongea kwa uchungu sana na ameonyesha namna nchi inavyoendeshwa hovyo sana.
Anaeleza namna ambavyo mipango ilivyopangwa Mke wa Kikwete Salma Kikwete uchaguzi wa mwaka huu 2025 katika jimbo la Mchinga apite bila kupigwa kwenye kura za maoni na ndicho kilichotokea.
Soma Pia: Salma Kikwete achukua barua ya utambulisho CCM, kuelekea INEC kuchukua fomu ya ubunge Mchinga
Anaendelea kusema kwamba mwaka 2020 kuna machawa walimfuata Mzee Kikwete nyumbani kwake wakimuomba mkewe agombe tena, kwahiyo kauli hiyo ikatoka na agizo kwamba hatoruhusiwa mtu mwingine kuchukua fomu.
Lakini katika jimbo hilo Salma Kikwete hakuna maendeleo yoyote aliyoyafanya. Mzee akamalizia akisema Isingekuwa katazo hilo basi yeye angekuwa mbunge
Anaeleza namna ambavyo mipango ilivyopangwa Mke wa Kikwete Salma Kikwete uchaguzi wa mwaka huu 2025 katika jimbo la Mchinga apite bila kupigwa kwenye kura za maoni na ndicho kilichotokea.
Soma Pia: Salma Kikwete achukua barua ya utambulisho CCM, kuelekea INEC kuchukua fomu ya ubunge Mchinga
Anaendelea kusema kwamba mwaka 2020 kuna machawa walimfuata Mzee Kikwete nyumbani kwake wakimuomba mkewe agombe tena, kwahiyo kauli hiyo ikatoka na agizo kwamba hatoruhusiwa mtu mwingine kuchukua fomu.
Lakini katika jimbo hilo Salma Kikwete hakuna maendeleo yoyote aliyoyafanya. Mzee akamalizia akisema Isingekuwa katazo hilo basi yeye angekuwa mbunge