Mimi ni mkazi wa Mbinga ninaomba kuchukua nafasi kumkumbusha Mbunge wetu Gaudance Kayombo, hadi sasa hakuna ahadi aliyoitimiza hata moja tangu uchaguzi wa mwaka 2010 uishe,yeye hukaa dar tu na ametusahau kabisa huku Mbinga.
Namuomba mheshimiwa atimize ahadi zote alizo tuahidi wana Mbinga, akumbuke 2015 sio mbali asije akaanza kutafuta mchawi.
Mbinga tuna utajiri mkubwa wa Madini,Kahawa, n.k lakini bado tuko kwenye lindi la umasikini,na hii ni kutokana na tabia ya viongozi wetu kukimbilia dar sisi wenyewe wananchi tukiachwa hoi.
Namuomba mheshimiwa atimize ahadi zote alizo tuahidi wana Mbinga, akumbuke 2015 sio mbali asije akaanza kutafuta mchawi.
Mbinga tuna utajiri mkubwa wa Madini,Kahawa, n.k lakini bado tuko kwenye lindi la umasikini,na hii ni kutokana na tabia ya viongozi wetu kukimbilia dar sisi wenyewe wananchi tukiachwa hoi.