mbasha mazengo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 630
- 588
Mhe Sugu fanya ziara na kufungua matawi na vitingoji katika Jimbo la Ludewa. Wapo vijana wa vyuo vikuu hawana ajira wapewa kipaumbele cha uchaguzi wa matawi na vitongoji maana CCM kwa uongo wao wameifanya wilaya ya Ludewa kuwa ya mwisho kimaendeleo Tanzania nzima.
Na mhe Sugu wape hamasa ikibidi nenda na bendi maana vipaji vipo. CCM wamewabania watoto wa watu, wamebaki kunywa ulanzi na komoni. Hawajui Kama kuna vyama makini kuzidi CCM mfano CHADEMA, CUF,Act na NCCR Mageuzi.
Na mhe Sugu wape hamasa ikibidi nenda na bendi maana vipaji vipo. CCM wamewabania watoto wa watu, wamebaki kunywa ulanzi na komoni. Hawajui Kama kuna vyama makini kuzidi CCM mfano CHADEMA, CUF,Act na NCCR Mageuzi.