Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Alishasema itategemea na alivyoamka siku hiyo hivyo huwezi kumpangia Mwenyekiti, Mwigulu atapita kwa upande wa CCM maana nafikiri ndiyo mwenye maisha mazuri Mkoa mzima wa Singida.wewe ndo pathetic hopeless.., kushikiwa akili, kuwahusudu na kua dictated na walevi wa kabila fulani, hta kama kweli mwigulu hafai si lazima wanyiramba wachague upinzani, mabadiliko yawezekana hta ndani ya chama hicho hicho cha mkulu.