Kimtazamo wa kampeni ziendavyo hapa jijini, CHADEMA inaonekana kama chama tawala kilichoshindwa kuunganisha makundi mbalimbali ya kijamii na kuleta maendeleo, mbunge anaemaliza muda wake Mh. Lema ameshindwa kujipambanua na kueleza kwa yakini ni nini amewafanyia watu wa arusha mjini, hoja zinazotolewa na wapinzani wake juu kudorora kwa maendeleo na biashara arusha zinaelekezwa kwa msheshimiwa Lema.
Mgombea wa CCM maarufu MONABAN ameweza kuteka makundi ya kina mama na vijana na ahadi za uwezeshaji na utulivu wa mji zina mmbeba, mgombea mwengine mwenye nguvu wa tatu anatoka chama cha ACT, NA bila shaka atagawa kura za upinzani. nguvu pekee ya Lema inatokana na nguvu ya mgombea urais ndugu Edward Lowassa ambae atapita kwa siku moja tu jimboni. wadau tusishangae jimbo la arusha mjini likirudi mikononi mwa ccm.
Mgombea wa CCM maarufu MONABAN ameweza kuteka makundi ya kina mama na vijana na ahadi za uwezeshaji na utulivu wa mji zina mmbeba, mgombea mwengine mwenye nguvu wa tatu anatoka chama cha ACT, NA bila shaka atagawa kura za upinzani. nguvu pekee ya Lema inatokana na nguvu ya mgombea urais ndugu Edward Lowassa ambae atapita kwa siku moja tu jimboni. wadau tusishangae jimbo la arusha mjini likirudi mikononi mwa ccm.