Jimbo la Arusha Mjini linarudi CCM

Jimbo la Arusha Mjini linarudi CCM

Huna hoja,.. Lema out...! Lowasa out....!

Acha kuendeshwa na ashki hoja ya nini ,nimekuambia nimekula hela za Ccm leo arusha ,unaniambia niweke picha nakuuliza picha ya nini unaniambia sina hoja ,wewe Lowasa anaingia ikulu mapema Sana na Lema ni kama nyoso hapa arusha kama ujui
 
Acha kuendeshwa na ashki hoja ya nini ,nimekuambia nimekula hela za Ccm leo arusha ,unaniambia niweke picha nakuuliza picha ya nini unaniambia sina hoja ,wewe kitumbua lowasa anaingia ikulu mapema Sana na Lema ni kama nyoso hapa arusha kama ujui

Aha ha ha ha! Lema hawezi kuwa Nyoso!! alishapata mshkaji jela! Weka picha ya mabegi ya hela na huyo anayegawa na mimi nije, pichaaaaaa plz!
 
Ndugu zangu kwa Arusha MONABAN kashelewa sana. Na kubali upambanaji wake lakini kwa bahati mbaya ameingia kwenye uchaguzi kipindi kibaya. CCM ni tete.
 
Aha ha ha ha! Lema hawezi kuwa Nyoso!! alishapata mshkaji jela! Weka picha ya mabegi ya hela na huyo anayegawa na mimi nije, pichaaaaaa plz!

Mkuu pesa hazigawanywi kwa mabegi ,watu wanapewa 2500 ya nauli kwa mfano unakaa Makumira na posho nyingine unapewa na tshrit ya Ccm ,Wewe kataa tu Lema ni Nyoso ,Oct 25 sio mbali ntakutafuta
 
Mkuu pesa hazigawanywi kwa mabegi ,watu wanapewa 2500 ya nauli kwa mfano unakaa Makumira na posho nyingine unapewa na tshrit ya Ccm ,Wewe kataa tu Lema ni Nyoso ,Oct 25 sio mbali ntakutafuta

Yani sh 2500 zinifanye nipigwe jua mkutanoni!? Wacha uongo! watu wamekwenda kwa mapenzi yao na chama chenye amani ccm, wamechoka na maandamano ya Lema kila siku hawazalishi mali. Lema out...!
 
lenga

Ni hivi jirani yangu aliibiwa simu siku ya jumapili, wakati anafanya shughuli zake aliingia ndani akaacha sim nje kwa kuwa ni sehemu ambayo haina wizi wizi hakuwa na shaka, kuja kutoka nje kakuta sim ishapitiwa, ikatafutwa haikupatikana, mama yule kada wa ccm akaondoka taratibu hadi kwa mganga siku hiyohiyo.

Yakafanyika yakufanyika mganga akamwambia rudi nyumbani ndani ya siku 7 utapata simu yako, mama yule akarudi kimya kama kaisahau simu yake, jambo la ajabu leo hii asubuhi mme wake anaamka kujiandaa kwenda kazini anakuta sim mlangoni, ndio kuita watu kwa furaha.

Sasa naomba mniunganishie dot,  kuna connection gani ilifanyika kati ya mganga na mwizi hadi simu ikarudi? Bado nina mshangao wa ajabu, mara zote naamini waganga ni waongo na hutumia mchezo wa kisaikolojia zaidi kumwahadaa mtu.

Wanganga wa kweli wapo na waganga matapeli wapo pia. Uganga ni nguvu ya kutabiri ya kishetani kama ambavyo nguvu ya Mungu hutabiri kupitia manabii wake,mfano Samweli alikuwa mtabiri/mwonaji. Uganga upo na ushirikina upo na huwa ingini inayoendesha mambo yote(yaani computer server) ya uganga ni mizimu au mizuka au kwa jina lingine ni mahoka. Nitakupa mfano.Unaweza kwenda stand kupanda basi,mara ukasikia kama sauti kwa ndani inakuambia,usipande gari hii. Na kweli ukaacha kuipanda na baadaye ukasikia ile gari imepinduka njiani na kuuwa watu. Hapo na wewe ukasema machale yalinicheza sikupanda ile gari. Kama wewe huna au hujamvaa ndani yako Mungu(Yesu Kristo)ina maana ile sauti ni sauti ya mizimu au mahoka. Ni somo zuri sana na nina CD zake. Ukitaka naweza kukupatia bure
 
Yani sh 2500 zinifanye nipigwe jua mkutanoni!? Wacha uongo! watu wamekwenda kwa mapenzi yao na chama chenye amani ccm, wamechoka na maandamano ya Lema kila siku hawazalishi mali. Lema out...!

Wewe utanifanya nimeze Painkillers amini utakavyo
 
Arusha imeamua leo.

Iamue kwa show za fiesta? Hata kama zingepigwa kura hapo kwenye mkutano wa magufuli nina imani Lowasa angeshinda tena kwa kura nyingi kwani wengi tulifata show ya bure.
 
Yani sh 2500 zinifanye nipigwe jua mkutanoni!? Wacha uongo! watu wamekwenda kwa mapenzi yao na chama chenye amani ccm, wamechoka na maandamano ya Lema kila siku hawazalishi mali. Lema out...!

Wengi waliletwa kwa malori jumlisha na fiesta = mafuriko bandia
 
Una ndoto za ajabu mkuu,,,usijeota umetaga yai la moto kitandani!!!!!!!! I bet my neck, CCM haiwezi kushinda Arusha mjini
 
BORA UWE NA NDOTO ZINAZOKUNYIMA USINGIZI KWASABABU ZITAKUFANYA UFANYE KAZI KWA BIDII ILI UZITIMIZE:bowl:,,,ILA HII NDOTO YAKO INAKUFANYA UTAMANI KULALA ILI USIAMKE NA KUUJUA UKWELI HALISI

TUKUTANE OCTOBER 25
 
Arusha wanamjua EL ni nani pili LEMA aliwahi kutibuana na EL akiwahamasisha mambo flani wa arachuga kuhusu mama Batilda in short wamejikaanga, na watu wenye akili timamu hawatampa kura LEMA!.A city ni hip hop u-snitch wa Makamanda wa CDM dhidi ya dk slaa hautakubalika,labda kwa wapiga debe,na wanywa viroba wanaoleta shida usiku ngareroo!,ungalimi,matejoo hao wanapewaga posho! huwa hawana AKILI nzuri ila HELA KWANZA!
 
Mtajifariji sana Arusha Chadema iko katika damu hawadanganyiki
 
Philimon Mollel (monaban)
-Ni Mgombea ambaye alikuwa anategemea nguvu na ushawishi wa Lowassa kama ilivyokuwa kwa Namelock Sokoine , walijua kama angepitishwa kuw mgombea urais kwa tiketi ya CCM wangemtumia kama mtaji wa kufanikisha wao kushinda viti vya ubunge.
-Monaban Hana nguvu ya kisiasa hapa Arusha na ndio maana hatumii nguvu nyingi kwani CHADEMA ni Arusha na Arusha ni CHADEMA, .. ..


JONAS ESTOMIH MALLAH! ( ACT Wazalendo)
>> Kwanza mwaka 2010 alishinda udiwan wa kata ya Kimandolu (kitiengare) kwa tiketi ya CDM, na alidumu kwa miezi 6 tu., baada ya kujaribu kukihujumu chama (CDM) katika sakata la umeya wa jiji la Arusha ..
_ Chadema Ilimbeba hadi akawa diwani leo anagombea ubunge kwa tiketi ya ACT Wazalendo chama kisicho hata na ofisi katika mtaa anaoishi Ndg Mallah..
- Mallah Siasa haiwezi labda abaki kuendeleza na kuuboresha ule ukumbi wake wa Pentagon Garden pale suye.
 
Jamani yani rahaaaa, Magufuliiiiiii mbele kwa mbele
 
Utawafanya kina Mungi wapagawe.

Mkuu nakuhakikishia hakuna sehemu CCM watashinda tena Arusha mjini. Labda kule msoga ndiyo wanaweza kuokoteza.

Hawa wapumbavu tunawapiga asubuhi kabla ya misa ya kwanza. Jioni unibeep nakupa namba yangu nikupe matokeo
 
Back
Top Bottom