Jimbo la Arusha Mjini linarudi CCM

Jimbo la Arusha Mjini linarudi CCM

Arusha mmetuangusha sana tumewashinda hata mbeya
 
Sio Rahisi kohivyo wacha Tarehe 8 utaona kitachotokea huko arusha na Mkutano utakuwa Televised
 
Kimtazamo wa kampeni ziendavyo hapa jijini, CHADEMA inaonekana kama chama tawala kilichoshindwa kuunganisha makundi mbalimbali ya kijamii na kuleta maendeleo, mbunge anaemaliza muda wake Mh. Lema ameshindwa kujipambanua na kueleza kwa yakini ni nini amewafanyia watu wa arusha mjini, hoja zinazotolewa na wapinzani wake juu kudorora kwa maendeleo na biashara arusha zinaelekezwa kwa msheshimiwa Lema.

Mgombea wa CCM maarufu MONABAN ameweza kuteka makundi ya kina mama na vijana na ahadi za uwezeshaji na utulivu wa mji zina mmbeba, mgombea mwengine mwenye nguvu wa tatu anatoka chama cha ACT, NA bila shaka atagawa kura za upinzani. nguvu pekee ya Lema inatokana na nguvu ya mgombea urais ndugu Edward Lowassa ambae atapita kwa siku moja tu jimboni. wadau tusishangae jimbo la arusha mjini likirudi mikononi mwa ccm.


Hujambo?
Kuna taarifa nyingi zinasambaa sana kuwa umati uliokuja kumsikia magufuli ni wana arusha. Sio kweli mimi nilikua mratibu wa kanda ya kasikazini katika Mkutano uliopangwa kufanyika Arusha hii leo.

Kila mjumbe alitakiwa kuja na watu 100 kati ya wajumbe 200 kwa jimbo la arusha mjini tu.

Kiwanda cha A to Z cha mjini hapa kimewaamrisha wafanyakazi wote kuhudhuria huo mkutano la sivyo watapoteza sifa ya kuwa na kazi.

Acha majimbo mengine ambayo taarifa zake bado hazijapatikana.

Kwa ujumla watu waliokuja wengi wao wamepewa elf 10 _15 ndio wakaja.

Ccm arusha hawana chao.

Mimi mwenyewe ndio mratibu.

Asante.
 
Kama analysis yako ni wanaoouzuria hiyo mikutano, wapiga kura hata hatuhuzurii mikutano! IMEKULA
 
Mkuu hujaangushwa machalii Wa r wanakula hela za ccm ,kura zinapelekwa ukawa Oct 25 sio mbali utaamini

We jiandae tu kisaikolojia kuachia jimbo la Arusha sio udanganye eti vijana wamejitokeza kwa kulipwa! Nani kawalipa na malipo yamefanyikia uwanja gani maana kwa wingi ule ofisi yoyote haitoshi na kama walilipiwa uwanjani hiyo foleni ya malipo ilienda umbali gani na mbona hukuleta picha za foleni hiyo ya malipo na mabegi ya hela na mlipaji maana begi moja lisingetosha,.
 
kabla ya serekali za mitaa maneno yalikuwa hivyo.kumbukeni mdindisho bandia haumzalishi mbuzi panataka udinde kweli
 
We jiandae tu kisaikolojia kuachia jimbo la Arusha sio udanganye eti vijana wamejitokeza kwa kulipwa! Nani kawalipa na malipo yamefanyikia uwanja gani maana kwa wingi ule ofisi yoyote haitoshi na kama walilipiwa uwanjani hiyo foleni ya malipo ilienda umbali gani na mbona hukuleta picha za foleni hiyo ya malipo na mabegi ya hela na mlipaji maana begi moja lisingetosha,.

Wewe mandazi nini unabisha nini wakati Mimi ni mmoja Wa vijana nliekula hela za Ccm Leo arusha
 
lema anapita hao wana fiesta na msururu wa mgombea urais watapita na arusa itabaki na wapiga kura wake halali
 
Kimtazamo wa kampeni ziendavyo hapa jijini, CHADEMA inaonekana kama chama tawala kilichoshindwa kuunganisha makundi mbalimbali ya kijamii na kuleta maendeleo, mbunge anaemaliza muda wake Mh. Lema ameshindwa kujipambanua na kueleza kwa yakini ni nini amewafanyia watu wa arusha mjini, hoja zinazotolewa na wapinzani wake juu kudorora kwa maendeleo na biashara arusha zinaelekezwa kwa msheshimiwa Lema.

Mgombea wa CCM maarufu MONABAN ameweza kuteka makundi ya kina mama na vijana na ahadi za uwezeshaji na utulivu wa mji zina mmbeba, mgombea mwengine mwenye nguvu wa tatu anatoka chama cha ACT, NA bila shaka atagawa kura za upinzani. nguvu pekee ya Lema inatokana na nguvu ya mgombea urais ndugu Edward Lowassa ambae atapita kwa siku moja tu jimboni. wadau tusishangae jimbo la arusha mjini likirudi mikononi mwa ccm.

Arusha kipindi itaenda ccm? natumai umeanduka kujifurahisha pia ukachukue posho yako. hongera.
 
lema anapita hao wana fiesta na msururu wa mgombea urais watapita na arusa itabaki na wapiga kura wake halali

Bora hao wana fiesta wanapita tu ila nyie ukawa mmewapa na majimbo ya kugombea Kabisa akina Prof J, Kingwendu na wengine.
 
Kimtazamo wa kampeni ziendavyo hapa jijini, CHADEMA inaonekana kama chama tawala kilichoshindwa kuunganisha makundi mbalimbali ya kijamii na kuleta maendeleo, mbunge anaemaliza muda wake Mh. Lema ameshindwa kujipambanua na kueleza kwa yakini ni nini amewafanyia watu wa arusha mjini, hoja zinazotolewa na wapinzani wake juu kudorora kwa maendeleo na biashara arusha zinaelekezwa kwa msheshimiwa Lema.

Mgombea wa CCM maarufu MONABAN ameweza kuteka makundi ya kina mama na vijana na ahadi za uwezeshaji na utulivu wa mji zina mmbeba, mgombea mwengine mwenye nguvu wa tatu anatoka chama cha ACT, NA bila shaka atagawa kura za upinzani. nguvu pekee ya Lema inatokana na nguvu ya mgombea urais ndugu Edward Lowassa ambae atapita kwa siku moja tu jimboni. wadau tusishangae jimbo la arusha mjini likirudi mikononi mwa ccm.
Mkuu kukosekana kwa amani arusha sababu ni selekali ya ccm.
 
Utawafanya kina Mungi wapagawe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom