Jimbo la arumeru magharibi kama vile hawana mbunge.

Jimbo la arumeru magharibi kama vile hawana mbunge.

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,324
Reaction score
2,494
mbunge wao yupo kimya dar anakula kuku huku shule zimefelisha lakn kam vile haimhusu kwa kuwa watoto wake wanasoma englsh medium,sasa n wakati wa wana arumeru magharb kumchagua mwalmu km ataweza kuwasaidia ktk elimu ambayo imedorora mno pamoja na kuwa na michango mengi.
 
Unajinadi ee? Makinda katangaza kuwa jimbo lipo wazi nn? Kwani alivuliwa hadi ubunge? Jipangeni wanaCWT mkomboe watoto wa st kayumba.
 
soma vizu kwan nimesema km vile lipo waz na sio kujnd angalia historia ya siasa tz na walmu n hv nyerere,mwiny,magufuli lowasa,mrema nk n wanasiasa wa kutukuka.
 
Kweri kabisa. Hilo neno "ni kama" ni kivumishi, kiwakilishi, kihisishi ama ni kishazi? Naomba mwongozo
 
Kwani olemedeye naye ni mbunge mgoja 2015 namuangusha usiogope
 
Ukiachilia mbali elimu,tangu masuala mengine ya maendeleo pia yame kwama,mfano ni barabara ya miamzini kuelekea ekenywa sasa hivi imegeuka mkondo wa maji makorongo kila mahali,sakina hivyo hivyo.kweli tulilamba garasha.
 
Eti Medeye atakwenda kugombea ubunge arusha mjini 2015 nina uhakika hata kura 1000 hatapata
 
Ni kweli liko hoi kielimu na kiafya.
Sielewi kwa nini medeye alitoswa uwaziri pamoja na fadhila za kumpa kiwanja Ritz
 
mbunge wao yupo kimya dar anakula kuku huku shule zimefelisha lakn kam vile haimhusu kwa kuwa watoto wake wanasoma englsh medium,sasa n wakati wa wana arumeru magharb kumchagua mwalmu km ataweza kuwasaidia ktk elimu ambayo imedorora mno pamoja na kuwa na michango mengi.

Nasikia ni mzee wa michepuko balaa,pale BANGATA secondary vipi?
 
Back
Top Bottom